PENDEKEZO: 2015 CHADEMA wasimamishe mgombea mwanamke kiti cha urais!

zumbemkuu

JF-Expert Member
Sep 11, 2010
10,829
8,619
Wanajamvi,

Mimi nashauri CHADEMA wajipange kuweka mgombea mwanamke kiti cha urais 2015.

Ningependekeza waanze kufanya mkakati wa kumshawishi mwanaharakati asiyeyumba mama ANANILEA NKYA awe mgombea.

Sipati picha hicho kimbunga kitakavyokuwa, CCM watazimia, pia huenda itasaidia hata kwenye nafasi za ubunge kuondoa huu udhalilishaji wa wanawake kupewa viti maalum.

Hivi nchi zilizoendelea kuna viti maalum kweli?
 
Nadhani unaanzisha hoja ambayo haina mantiki kabisa. Vyama makini havisimamishi wagombea kwa sababu za mgombea kuwa mwanamke au mwanaume bali kwasababu ana sifa. Hoja yako ipeleke huko ambako inakubalika.
 
wanajamvi mie nashauri CHADEMA wajipange kuweka mgombea mwanamke kiti cha urais 2015, ningependekeza waanze kufanya mkakati wa kumshawishi mwanaharakati asiyeyumba mama ANANILIA NKYA awe mgombea, sipati picha hicho kimbunga kitakavyokuwa, CCM watazimia, pia huenda itasaidia hata kwenye nafasi za ubunge kuondoa huu upupu wa kudhalilishwa wanawake kupewa viti maalum. hivi nchi zilizoendelea kuna viti maalum kweli????
Hivi akili zako zina akili kweli huyo Ananilea Nkya kwanza ni chama gani kaangalie expiry date ya ubongo wako inawezekana imeshapita.
 
Kwa hiyo wewe unataka wasimamishe mwanamke kwa sababu tu ni mwanamke! MAMLUKI
 
Nadhani unaanzisha hoja ambayo haina mantiki kabisa. Vyama makini havisimamishi wagombea kwa sababu za mgombea kuwa mwanamke au mwanaume bali kwasababu ana sifa. Hoja yako ipeleke huko ambako inakubalika.

uwezo wangu wa kufikiri ninaona ina mantiki, hayo ni mwazo yangu tu mkuu. hapo kwenye red mkuu, niipeleke wapi huko? nielekeze tafadhali hata kama ni kwa mambumbumbu, nafikiri hata mimi ndo kunaponifaa.
 
Hivi akili zako zina akili kweli huyo Ananilea Nkya kwanza ni chama gani kaangalie expiry date ya ubongo wako inawezekana imeshapita.

hapo kwenye red, wanasayansi hawajathibitisha bado. sijasema ni mwanachama wa chadema ila nilisema chadema waanze taratibu kumuambukiza itikadi za chama maana kwa mawazo yangu ana muelekeo huo kuliko mwanamke mwingine hapa tz. pia sababu ya kusema mgombea awe mwanamke ni kutokana na changamoto za sasa za usawa unaohubiriwa kila kona. MNISAMEHE NILIOWAUDHI.
 
wazo zuri sana .......
lakini mi nadhani tumwombe Dr.Slaa asimame tena 2015...
labda miaka 5 ou 10 kuanzia 2015 tuanze kumu introduce mwanamke ambae anauwezo
wakuongoza nchi.....
 
Nadhani Tanzania inachohitaji sasa hivi ni good leadership siyo gender leadership.
 
wanajamvi mie nashauri CHADEMA wajipange kuweka mgombea mwanamke kiti cha urais 2015, ningependekeza waanze kufanya mkakati wa kumshawishi mwanaharakati asiyeyumba mama ANANILIA NKYA awe mgombea, sipati picha hicho kimbunga kitakavyokuwa, CCM watazimia, pia huenda itasaidia hata kwenye nafasi za ubunge kuondoa huu upupu wa kudhalilishwa wanawake kupewa viti maalum. hivi nchi zilizoendelea kuna viti maalum kweli????

Ama kweli wewe siyo ZumbeMkuu tu bali ni Zumbukuku?
 
Nadhani unaanzisha hoja ambayo haina mantiki kabisa. Vyama makini havisimamishi wagombea kwa sababu za mgombea kuwa mwanamke au mwanaume bali kwasababu ana sifa. Hoja yako ipeleke huko ambako inakubalika.

Sifa ya Dr Sla ni nini ? labda kuchukua wa
ke a watu.
 
Party leaeders wa CDM bado wako kwenye kuanika tofauti zao ndani na nje ya chama
Wakimaliza hapo ndio wakubali kufanya kazi kama team moja, na kurudisha imani kwa wanachama
wamalize hapo, wapate mgombea mmoja atakae gombea uraisi kwa tiketi yao, na wamsupport wote
wamalize hapo waanze ku-convince vyama vingine vya upinzani kuhusu mgombea wao. muda uko wapi?

By then CCM imesha jipanga nyuma ya mtu mmoja na wote wanamsupport huyo huyo.
Kazi ya chama sio ku-entertain the public with your family affair sagga (soap opera)
Kazi ya chama ni ku-take power and run the country! Chadema bado sana (maybe 2020)

Kwa mtazamo wangu mimi Chadema wamesha shindwa uchaguzi wa 2015! Kubali kataa
Chama cha upinzani chenye kujiheshim kinge tumia muda huu kujenga strong party coalition
Then wakisha rule miaka tano au kumi, ndio wajipange kuleta mwanamke sasa
maana TZ nayo haijawa tayari kwa mgombea mwanamke
 
wanajamvi mie nashauri CHADEMA wajipange kuweka mgombea mwanamke kiti cha urais 2015, ningependekeza waanze kufanya mkakati wa kumshawishi mwanaharakati asiyeyumba mama ANANILIA NKYA awe mgombea, sipati picha hicho kimbunga kitakavyokuwa, CCM watazimia, pia huenda itasaidia hata kwenye nafasi za ubunge kuondoa huu ----- wa kudhalilishwa wanawake kupewa viti maalum. hivi nchi zilizoendelea kuna viti maalum kweli????
Mi napendekeza wamsimamishe Jusephine Mushumbushi au Rose Kamili ili iwe rahisi kwa Katibu Mkuu wao kuwanadi
 
uwezo wangu wa kufikiri ninaona ina mantiki, hayo ni mwazo yangu tu mkuu. hapo kwenye red mkuu, niipeleke wapi huko? nielekeze tafadhali hata kama ni kwa mambumbumbu, nafikiri hata mimi ndo kunaponifaa.

Peleka CCM kwani si unaona wameanza na Spika wa bunge kwa hiyo ili wazo lako ukilipeleka huko litapewa kipaumbele.
 
Sifa ya Dr Sla ni nini ? labda kuchukua wa
ke a watu.

Join Date : 30th May 2012
Posts : 10
Rep Power : 334
Likes Received0
Likes Given0



Tangu umejiunga JF Haujagundua kama huna sifa za kuwa humu JF, pole sana zumbukuku.
 
Back
Top Bottom