ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,074
- 42,852
Wakuu naombeni mnitajie maarifa ambayo kama nikiamua ku deal nayo nikayapa muda wa kutosha kujifunza katika mtandao basi nitapiga hela maana nasikia Kuna watu wanasema pesa ipo tu hewani ni wewe tu kuidownload yaani kuivuta ndo maana tunaona vijana wanakunywa tu bia na kushinda bar.
Halafu ukiwafuatilia hamna kazi wanayofanya nasikia wenyewe kifaa chao Ni computer au simu tu. Kwa hiyo nipeni mwongozo niamue kuumiza akili kwenye technology ili nipige pesa.kati ya freelancer, betting,forex, n.k.
Niko tayari kujifungia ndani nikomae usiku na mchana ili niwe master wa kuvuta pesa ili mradi sitaki tu michezo ya kifreemason.
Halafu ukiwafuatilia hamna kazi wanayofanya nasikia wenyewe kifaa chao Ni computer au simu tu. Kwa hiyo nipeni mwongozo niamue kuumiza akili kwenye technology ili nipige pesa.kati ya freelancer, betting,forex, n.k.
Niko tayari kujifungia ndani nikomae usiku na mchana ili niwe master wa kuvuta pesa ili mradi sitaki tu michezo ya kifreemason.