Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 9,992
Tofaur kubwa ya wazungu na jamii nyingine ni uwezo wa kutoweka akili zao katika comfort zone, lakin changamoto kubwa inayotukabili sis jamii nyingine ni ile hali ya kuiweka akili zetu katika comfort zone, inaua ubunifu na uvumbuzi.
Comfort zone ni le hali ya kutokua na shauku kutumia akili katika kada fulani ili uweze kuvumbua na kubuni ili uweze kutimiza malengo fulani.
Kama kazin pakitokea mfanyakaz ambaye hatakubali kuiweka akili yake katika comfort zone huyo mfanyakazi lazima awe mfanyakaz bora.
Wazungu tokea zaman walijua jinsi ya kuitumia hii formula ya kutoiweka akili zao katika comfort zone. Mpaka Leo japokua wameendelea sana still akili zao hawajaziweka kwenye comfort zone ndo maana wanaendelea kuwa wabunifu na wavumbuzi.
Comfort zone ni le hali ya kutokua na shauku kutumia akili katika kada fulani ili uweze kuvumbua na kubuni ili uweze kutimiza malengo fulani.
Kama kazin pakitokea mfanyakaz ambaye hatakubali kuiweka akili yake katika comfort zone huyo mfanyakazi lazima awe mfanyakaz bora.
Wazungu tokea zaman walijua jinsi ya kuitumia hii formula ya kutoiweka akili zao katika comfort zone. Mpaka Leo japokua wameendelea sana still akili zao hawajaziweka kwenye comfort zone ndo maana wanaendelea kuwa wabunifu na wavumbuzi.