Pence,Walinzi wa Korea Kusini na Wamarekani wakiwatunishia misuri vijana wawili wa Kim

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
r
 
wapi hapo? hebu muwe mnaandika ufafanuzi wa post zenu aseee!!
hapo DMZ, Mpakani mwa korea zote mbili. Makamu wa rais w US alifika hadi hapo kujionea hali ya mambo. Mpaka hatari kuliko zote duniani.
Hapo ukivuka hizo kokoto tu ni halali yao
 
Borders Guard si vijana wa mchezo mchezo
ni kikosi maalum cha makomando unapofuzu kuwa komando wa North Korea si mchezo wewe jiulize ndio nchi yenye wanajeshi wengi duniani na jeshi la akiba pekee ni watu milion 8 sasa mpaka Uwe komando utakuwa ni mtu wa aina gani inawezekana wakawa vizuri kiukakamavu kuliko mabaunsa wa US Army
 
Back
Top Bottom