Penati za masomo kwa form four waliohitimu

chiddy boy

Member
Jan 2, 2017
86
25
Jamani naombeni kujua kama kutakuwa na penati za masomo mwaka huu kwa wahitimu wa kidato cha NNE mwaka 2016 na pia nijue ni masomo gani yatakuwa na penati naombeni kujua na pia na matokeo yatatoka lini yao
 
Jamani naombeni kujua kama kutakuwa na penati za masomo mwaka huu kwa wahitimu wa kidato cha NNE mwaka 2016 na pia nijue ni masomo gani yatakuwa na penati naombeni kujua na pia na matokeo yatatoka lini yao


penat lazma kwa maxomo ya Civ,Kisw na Math, alaf matokeo yenu yanaweza kutoka mwez huu wa kwanza mwishoni, alaf watabana xana coz awatak wanafunz fek kwenda kidato cha tana xo 1 na 2 ndo zitaenda kidato cha tano lakni unaweza ukapata bahat atakama una 3 ukaenda kidato cha tano, but ucwaze dogo jiamin
 
penat lazma kwa maxomo ya Civ,Kisw na Math, alaf matokeo yenu yanaweza kutoka mwez huu wa kwanza mwishoni, alaf watabana xana coz awatak wanafunz fek kwenda kidato cha tana xo 1 na 2 ndo zitaenda kidato cha tano lakni unaweza ukapata bahat atakama una 3 ukaenda kidato cha tano, but ucwaze dogo jiamin
Poa kaka
 
Chiddy boy pole sana maana naona unalishwa matango pori tupu hapo juu....Wakati mwingine kabla hujasikiliza ushauri angalia hata aina ya uandishi wa mtu anayetoa ushauri au taarifa...

Mfano huyo Hassan Enzi...anajifanya kama vile ni msemaji wa necta kitengo cha penalties lakini anaandika X badala ya S....ukishaona hayo achana na huo uhuni...
Wengine wanakwambia penalties zipo kwa English na History...

Mimi ninavyojua QT inawahusu watu hasa ambao hawajawahi kugusa elimu ya sekondari au walifeli kidato cha pili na sasa wanaihitaji kwa muda mfupi...badala ya miaka 4 unatumia miaka 2...
PC ni mtu alowahi fanya mtihani ila credits hazikutosha...
Sidhani kama wewe umehitimu fomu four kisa credits hukupata uende kusoma QT
 
Chiddy boy pole sana maana naona unalishwa matango pori tupu hapo juu....Wakati mwingine kabla hujasikiliza ushauri angalia hata aina ya uandishi wa mtu anayetoa ushauri au taarifa...

Mfano huyo Hassan Enzi...anajifanya kama vile ni msemaji wa necta kitengo cha penalties lakini anaandika X badala ya S....ukishaona hayo achana na huo uhuni...
Wengine wanakwambia penalties zipo kwa English na History...

Mimi ninavyojua QT inawahusu watu hasa ambao hawajawahi kugusa elimu ya sekondari au walifeli kidato cha pili na sasa wanaihitaji kwa muda mfupi...badala ya miaka 4 unatumia miaka 2...
PC ni mtu alowahi fanya mtihani ila credits hazikutosha...
Sidhani kama wewe umehitimu fomu four kisa credits hukupata uende kusoma QT
Me nipo form six nauliza hivyo kwasababu na dogo langu kamaliza form four mwaka Jana sasa ajui kama kunapenati
 
Back
Top Bottom