Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Tunahitaji Rais mpya, Tumaini Jipya na akili mpya na ni kweli kabisa kipindi hiki ndio cha kufanya mageuzi ya uongozi, tumewajaribu na sasa wameshindwa kuna kila sababu ya kufanya mabadiliko
Ninaamini watakaoipigia Chadema itakuwa ni full suit au a trident....................Hakuna atakayeipigia Chadema halafu ajidhoofishe kwa kumpigia JK au mgombea mwingine wa UraisiNalazimika kuandika hili kama kuwatia shime wale wote ambao wanataka kweli mabadiliko nchini kupitia chama hicho kuondoa vizuizi vyote vya kihisia na kiakili na kutumia nafasi hii ya kihistoria kuweza kuigombania ipasavyo nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Sipati picha itakuwaje safu ikiwa hii, maana hapa itainclude mpaka wachezaji wa kununu kwenye dirisha dogo
Slaa, Mbowe, Zitto, Mnyika, Mdee, Mpendazoe hao ni baadhi ya wachezaji wakongwe wakisaiidwa na wa dirisha dogo Mwakyembe, Ole sendeka, Magufuli, hicho kitakuwa ni kikosi cha ushindi, siku mia moja (First quarter ya 2011) nchi lazima ipate shape na mwelekeo
Sipati picha itakuwaje safu ikiwa hii, maana hapa itainclude mpaka wachezaji wa kununu kwenye dirisha dogo
Slaa, Mbowe, Zitto, Mnyika, Mdee, Mpendazoe hao ni baadhi ya wachezaji wakongwe wakisaiidwa na wa dirisha dogo Mwakyembe, Ole sendeka, Magufuli, hicho kitakuwa ni kikosi cha ushindi, siku mia moja (First quarter ya 2011) nchi lazima ipate shape na mwelekeo
Kiukweli tunahitaji mabadiliko tena kwa haraka. Lakini bahati mbaya iliyopo hakuna anayefaa kutuletea haya mabadiliko kwa sasa. Si wapinzani wala chama Tawala.
Pembetatu hiyo haiwaondoi wapiganaji wengine... inawahusisha wote chini ya makamanda hao..
By the way.. nimefanya mazungumzo ya kina na Dr. Willibrod Slaa... yatapatikana kwa njia ya CDs pote Tanzania..
Pole mkuu. Dr. Slaa anaweza. Mpe kura yakoKiukweli tunahitaji mabadiliko tena kwa haraka. Lakini bahati mbaya iliyopo hakuna anayefaa kutuletea haya mabadiliko kwa sasa. Si wapinzani wala chama Tawala.
Pembetatu hiyo haiwaondoi wapiganaji wengine... inawahusisha wote chini ya makamanda hao..
By the way.. nimefanya mazungumzo ya kina na Dr. Willibrod Slaa... yatapatikana kwa njia ya CDs pote Tanzania..
Kiukweli tunahitaji mabadiliko tena kwa haraka. Lakini bahati mbaya iliyopo hakuna anayefaa kutuletea haya mabadiliko kwa sasa. Si wapinzani wala chama Tawala.
Hizo CD hapa dar zinapatikana wapi?
Nafurahi kuona Mzee Mwanakijiji hatimaye umebadilika vizuri. Mwanzoni ulidhani wakati sio huu, (na ukaandika mada ndefu kusema hivyo). Akina Mkandara na sisi wengine tulijitahidi sana kukushawishi kwamba ni sasa.