Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Wahifadhi huko Afrika Kusini wamekuja na mbinu mpya ya kuwalinda faru dhidi ya wawindaji haramu. Katika Pori la Hifadhi la Dinokeng wameamua kutia/ kuchanjia pembe au vipusa hivyo sumu na kuwataharadhisha wawindaji haramu (majangili) kwa kuzipaka rangi ya pinki.
Biashara ya vipusa imeshamiri kutokani na imani potofu kuwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume. Hata hivyo uvumbuzi wa dawa ya Viagra miaka ya karibuni umetoa ufumbuzi kwa tatizo hili.
Kwa mtindo huu ni kwamba watakaotumia dawa zitokanazo na vipusa watakuwa wanakatisha maisha yao.
Takriban faru 200 wameuwawa mwaka huu huko Afrika kusini.
Chanzo cha habari ni : Rhino horns poisoned and painted PINK to keep poachers away in revolutionary scheme in South Africa | Mail Online.
Biashara ya vipusa imeshamiri kutokani na imani potofu kuwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume. Hata hivyo uvumbuzi wa dawa ya Viagra miaka ya karibuni umetoa ufumbuzi kwa tatizo hili.
Kwa mtindo huu ni kwamba watakaotumia dawa zitokanazo na vipusa watakuwa wanakatisha maisha yao.
Takriban faru 200 wameuwawa mwaka huu huko Afrika kusini.
Chanzo cha habari ni : Rhino horns poisoned and painted PINK to keep poachers away in revolutionary scheme in South Africa | Mail Online.