issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Unajua kama huyo shemegy unae mkusudia ni Dada ake baba ako kwahiyo ww itakua ni shangazi yako kwahiyo uko tayari kutembea na shangazi yako kama mzee wa jalalani alivo shikiliwa akili lumumbaAkienda kwenye maandamano au kulianzisha dude amuache shemeji yetu nyumbani walau tuje tufaidi kidogo kuliko kupata hasara maana lazima akafie huko na ukoo wake utakuwa umesimama hvyo tutamsaidia kuuongeza ukoo wake.baba nenda baba sisi tupo nyuma ya mkeo