Haya tumekusikia mkuu!Halafu kitu ambacho wasichokijua sehemu nyingi tu duniani kikishanuka Jeshi huwa haliwi pamoja na watawala. Wenye shobo na watawala ni askari polisi. Mifano hii imetokea nchi nyingi hata barani Afrika.
Haya tumekusikia mkuu!Halafu kitu ambacho wasichokijua sehemu nyingi tu duniani kikishanuka Jeshi huwa haliwi pamoja na watawala. Wenye shobo na watawala ni askari polisi. Mifano hii imetokea nchi nyingi hata barani Afrika.
Wewe usiye muoga mbona unatumia ID fake?Huyu jamaa ni muoga sana! Vitendo vyake vinaongea zaidi kuliko kauli. Ni muoga mnoo!
Sidhani kama una akili timamu kwa kushabikia umwagaji damu. Kweli huoni dhuluma inayofanywa na Tume ya uchaguzi waziwazi?Mosi: Atakaye vunja amani na usalama atachukuliwa hatua iwe Pemba, iwe wapi
Pili: Muuche kujidanganya kuwa mnaogopwa
Tatu: Muache kujifariji kuwa mtaungwa mkono
Alishapuliza kipenga jitokeze sasa!! Uliwe na simba mapemaaa!!Maalim puliza kipyenga tuheshimiane !!!
Tatizo kwani ni nini?? Kama tatizo ni kushindwa kujaza fomu basi wa kulaumiwa ni ACT wenyewe kwanini hawakuwafundisha jinsi ya ujazaji wa fomu watu wao??
Waliotenda ujinga huo wapo?? Baada ya hapo walikufa wangapi? Usiongee ujinga ukiwa umejificha nyuma ya keyboard!Pemba hatuna haja ya kuungwa mkono, tupo vizuri na tutapambana. Ikiwa 2001 kuna baadhi ya askari polisi walikatwa vichwa (kama ulikuw hujui hii fuatilia undani wake) usitegemee miaka hii ambapo muamko umezidi mtatazamwa tu, hawatakufa au kujeruhiwa raia peke yao na upande wa pili utaface same consequences.
Umemsikiliza mwanasheria wa ACT alichokisema kuhusu sababu zilizotumika kuenguliwa wagombea wao? Halafu hao ACT wana ugeni gani wa kutojua kujaza fomu? Si ni watu walewale wa Maalim kaondoka nao kutoka CUF? Ugeni uko wapi katika hili?Tatizo kwani ni nini?? Kama tatizo ni kushindwa kujaza fomu basi wa kulaumiwa ni ACT wenyewe kwanini hawakuwafundisha jinsi ya ujazaji wa fomu watu wao??
Angalia huyu hapa chini alichojaza!! Ndiyo utajua kuwa kuna shida sehemu lakini pia jua kuna wakati mwingine wagombea wanauza nafasi wakijua hawatashinda.Hivi hizo fomu ina kipi cha ajabu mpka washindwe kujaza? Wameanza kujaza mwaka huu?
Mfano huu hapa! Najua utakataa pia.Umemsikiliza mwanasheria wa ACT alichokisema kuhusu sababu zilizotumika kuenguliwa wagombea wao? Halafu hao ACT wana ugeni gani wa kutojua kujaza fomu? Si ni watu walewale wa Maalim kaondoka nao kutoka CUF? Ugeni uko wapi katika hili?
Sehemu nyengine zimeghushiwa mpaka barua za kuekewa pingamizi kwa ACT. Wagombea wenza wa vyama vingine wakapinga hizo barua zilizoandikwa kwa majina yao.
Unalipi la kuandika zaidi ya kukumbatia uchama?
Ni ufupisho wa majina ya babu zangu hakuna ID fake hapo!Wewe usiye muoga mbona unatumia ID fake?
Kwani kuna aliyesema kutamwagika damu?Huo ujumbe wafunulie Pemba wanapotaka kumwaga damu
Kama hawajui kujaza fomu acha wakatwe sasa mgombea amejaza amezaliwa tarehe ya mwaka 2020 huyo kweli anasitahili kugombea maana yake hajatimiza miaka 18! Hivyo automatic hastahiri kugombea.Ni ufupisho wa majina ya babu zangu hakuna ID fake hapo!
Msichokijua ni kwamba huko Pemba kuna watu wanapenda kufa kama ninyi mnavyopenda kuishi.
Hakuna ambaye anayependa vurugu. Si kitu kizuri na si vizuri kuyaleta majaribu yake. Inapasa wapenda amani wa hii nchi kuzikemea tabia na mienendo ya watu wanotaka kuvuruga amani ya nchi.
Mumsihi bosi wenu aache mambo ya kiuchwara. Mlichokifanya wenyewe uhalisiya mnakijua kuhusu Pemba halafu mnakuja kushupaza shingo huku JF.
Jifunzeni kutokana na history!Haya tumekusikia mkuu!
Hayo mafomu CCM mnayo mengi tu kama toilet paper! Mnatumia myatakavyo! Mnafanya ghushi zenu halafu mnatupia kwenye mitandao.Kama hawajui kujaza fomu acha wakatwe sasa mgombea amejaza amezaliwa tarehe ya mwaka 2020 huyo kweli anasitahili kugombea maana yake hajatimiza miaka 18! Hivyo automatic hastahiri kugombea.
Angalia huyu hapa chini alichojaza!! Ndiyo utajua kuwa kuna shida sehemu lakini pia jua kuna wakati mwingine wagombea wanauza nafasi wakijua hawatashinda.
View attachment 1552761
Kisheria ushahidi wa document unatakiwa ujieleze wenyewe na ukishafikishwa mbele ya tume hakuna tena kubadirishwa. Tume inafanyakazi kama Mahakama. Ulishaona mahakamani unapeleka ushahidi wako kama unamakosa unaruhusiwa kuubadirisha hapo mahakamani?Sasa hilo ni kosa kumuengua mgombea? Correction fluid zipo kwa ajiri ya nini?
Hizi sheria za tume zitazamwe upya!
Nilijua lazima utakataa!Hayo mafomu CCM mnayo mengi tu kama toilet paper! Mnatumia myatakavyo! Mnafanya ghushi zenu halafu mnatupia kwenye mitandao.
Kama mtu anajua kusoma, kuandika na kujielezea kwa maandishi iwezekanaje akosee mwaka wa kuzaliwa halafu kwa tarakimu?! Hii haipo!
Mimi sipendi dhulma na unafiki. Na unafiki ni ugonjwa ukiachwa utakua na kuathiri watu. Dawa yake ni kuutibu.Nilijua lazima utakataa!