Pemba ni Noma! Soma hapa kabla hujaenda na mbuzi/kiburudisho chako Pemba

CPU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
3,863
686
tttttt.jpg
 
Hii safi iwapo YAZINGATIWA KIKAMILIFU.
ila vyeti vya ndoa pia vyaweza kufojiwa kama kawaida ya mambo ya mjini.
 
Hii safi iwapo YAZINGATIWA KIKAMILIFU.
ila vyeti vya ndoa pia vyaweza kufojiwa kama kawaida ya mambo ya mjini.

Kazi unayo! Utafoji vingapi?? Yaani kila binti awe na cheti cha ndoa na wewe, si utadakwa kiurahisi tu?? Labda ukajaribu hotel za Unguja au Dar
 
ni cheti cha ndoa mkuu...cha kushangaza ni kwamba vile vyeti haviwekwi picha za wanaondoa...vipi kama nikitaka kuchakachua nikakwapua vyeti home nikatinga navyo ili hali sio wanandoa halisi? nawakilisha tu mkuu

Duu, hii kali sasa hivyo vielelezo kuwa mmefunga ndoa ni vipi????
 
ni cheti cha ndoa mkuu...cha kushangaza ni kwamba vile vyeti haviwekwi picha za wanaondoa...vipi kama nikitaka kuchakachua nikakwapua vyeti home nikatinga navyo ili hali sio wanandoa halisi? nawakilisha tu mkuu

Utaiba cha mshikaji wako au?
 
Bado sio kontroo...tunafoji cheti Kadi za kupiga kura za halali

Huwezi kuhangaika kuingia sehemu kama hii wakat kuna sehemu kibao ambazo ni CONTROL FREE, huwezi kujihangaisha kufoji cheti ili uje hapa
 
Huwezi kuhangaika kuingia sehemu kama hii wakat kuna sehemu kibao ambazo ni CONTROL FREE, huwezi kujihangaisha kufoji cheti ili uje hapa

Kwa misingi hiyo basi huo mkwara hauna maana kama unazungukika......
 
Back
Top Bottom