Hii safi iwapo YAZINGATIWA KIKAMILIFU.
ila vyeti vya ndoa pia vyaweza kufojiwa kama kawaida ya mambo ya mjini.
Kazi unayo! Utafoji vingapi?? Yaani kila binti awe na cheti cha ndoa na wewe, si utadakwa kiurahisi tu?? Labda ukajaribu hotel za Unguja au Dar
Unamaanisha mashoga au?? Kama ni mashoga USITHUBUTU
Duu, hii kali sasa hivyo vielelezo kuwa mmefunga ndoa ni vipi????
ni cheti cha ndoa mkuu...cha kushangaza ni kwamba vile vyeti haviwekwi picha za wanaondoa...vipi kama nikitaka kuchakachua nikakwapua vyeti home nikatinga navyo ili hali sio wanandoa halisi? nawakilisha tu mkuu
Hahahaha havina picha, lakin hapa itabidi kila mmoja wenu aambatanishe na kadi ya kupigia kura
Huwezi kuhangaika kuingia sehemu kama hii wakat kuna sehemu kibao ambazo ni CONTROL FREE, huwezi kujihangaisha kufoji cheti ili uje hapa