Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Messi pimbi tu kwa RonaldoDoubt isiyo na doubt hiyo siyo doubt.
Pele kajishushia heshima yake kizeeeewmbe kabisa.
Kumbe ndio lengo lako?Messi pimbi tu kwa Ronaldo
Naamini niko sahihi nisemapo kila mtu anatumia macho yake kuitazama dunia.Hayo ni mawazo yako tu Mkuu but legends like him never lie...
2014 aliambiwa ataje timu anayodhan itanyakua kombe la dunia akasema england
Akuna sku nmemdharau mess km sku wako ugenini kwa PSG skuamini dk 90 adi za nyongeza zinaisha Mess ata attempt 1 golini hakuna,alafu alafu wasioukubali ukweli bado tu wanamlinganisha na Nguli C.Ronado ifike sehemu watu basi muwe na aibu ! Mtachekwa jamani.Juzi tu kazenguliwa kodi kajifanya kususa na kuama nchi angalia sasa vilabu vinavopigana vigingi kumnyakua yani wako tayari kulipa gharama zote ilimrad wampate bila kujali umri wake ,uyu MTU ni bidhaa adimu jamani.
Na wewe kumbe unaongeaga Ungese Hujui Mpira wewe kila anaejua Mpira anajua Messi si Bora tu Kuliko Ronaldo Bali ni Mchezaji Bora kuwahi Kutokea Duniani na Katika Hii sayari!Asiyekubali Ronaldo ni zaidi ya Messi...
1.Haujui mpira
2.Mahaba/mihemuko inamuongoza.Huyu hawezi kusema tofauti na kilichomo ndani yake (mahaba)