Pele aibuka tena na kumchana PAULO DYABALA

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Sep 8, 2016
7,593
6,930
PELE aibuka tena na kumchana PAULO DYBALA.
June 10, 2017

2304442_full-lnd.jpg

4148A60600000578-0-image-m-31_1497099152931.jpg

Siku za karibuni mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Juventus PAULO DYBALA amekuwa gumzo sana kutokana na uwezo wake, Dyabala kuna kipindi alionekana kama tegemezi kubwa la Waargentina wengi wakimuona dogo huyo kuchukua nafasi ya Mfalme LEONEL MESSI.

PAULO DYBALA amekuwa bora sana haswa na timu ya Juventus kiasi cha kuvivutia vilabu vikubwa duniani na wachambuzi wengi wa soka wamekuwa wakisema PAULO DYBALA anafanana kiuchezaji na gwiji wa zamani kuwahi kutokea na timu ya taifa ya Argentina DIEGO ARMANDO MARADONA.


Mwanasoka bora wa zamani ambaye alikuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil PELE ameibuka na kumkandia vikali PAULO DYABALA na kusisitiza kwamba DYABALA bado sana kufikia kiwango anachotajwa kuwa nacho.


PELE amesema DYABALA sio lolote “kwanza sio bora kama watu wanavyomzungumzia lakini pia nashangaa wanaomfananisha na DIEGO MARADONA wakati hawafanani hata kidogo na kitu pekee wanachofanana ni kutumia mguu wa kushoto kucheza mpira” alisema Pele.

Katika misimu miwili ya ligi kuu nchini Italia PAULO DYABALA mwenye umri wa miaka 23 ameifungia Juventus jumla ya mabao 30 na akiisaidia kubeba kombe la Serie A lakini alikuwepo uwanjani wakati wa fainali ya Champions League ambapo Juventus walikubali kipigo cha mabao 4 kwa 1 toka kwa Real Madrid.
images-11.jpg

Tukumbuke kuwa huyu huyu mzee alishawahi kumkandia hata MESSI. Kwahiyo ni jinsi gani anavyowachukia professional players wa Argentina na kuwasifia wabrazili wenzie. Anajiaibisha huyu kwa kweli.ni heri akae kimya
 

Attachments

  • images-11.jpg
    images-11.jpg
    20.4 KB · Views: 58
Anao uhuru wa kutoa maoni yake

Maoni gani sasa??? Kila mchezaji wa kutokea Argentina ni mbaya kwake!!!!! Na siyo marayake ya kwanza kuwaponda Greatest football players of Argentina. WIVU NI MBAYA MNO.Mbona Ronaldo hamkandii kihivyo au kwakua walitawaliwa na Portugal???

Ingawa ronaldo sio shabiki wangu lakini namkubali more than kipele
 
Maoni gani sasa??? Kila mchezaji wa kutokea Argentina ni mbaya kwake!!!!! Na siyo marayake ya kwanza kuwaponda Greatest football players of Argentina. WIVU NI MBAYA MNO.Mbona Ronaldo hamkandii kihivyo au kwakua walitawaliwa na Portugal???

Ingawa ronaldo sio shabiki wangu lakini namkubali more than kipele
Si kama haya uyatoayo mkuu ni vigumuu kufanana kimitizamo
 
Nishawahi kusema hapa!
Uyu dogo anakuzwa tu nakupewa sifa asizostahili

Mfuatirie vizuri huyu fundi.na usisubiri kuhadithiwa, na sio mara yakwanza kuwaponda wachezaji wakiargentina. Hata kwa messi vilevile kamkandia kinoma. Uzee huo unamsumbua. Why maradona hana nyege????
 
Nasemaga siku zote. wafalme wa soka duniani ni wawili 2.

Messi na Diego full stop

Sijawai kumckia mhuni Diego akiwaponda wachezaji awe mbrazili au mchezaji yoyote anayetoka taifa lingine. Na ndiomana Argentina imebarikiwa kwa wachezaji wazuri duniani. Yeye akae na wivu wake lakini haitomusaidia chochote.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom