Kelele wewe kaacha lini huyu tumekula naye sana nyagi miaka hiyo na mashati yake hata kupiga pasi hawezi.NDAMA MUTOTO YA NG"OMBE ni ustadh hanywi pombe!!!
Pia hali kitimoto hadharaniNDAMA MUTOTO YA NG"OMBE ni ustadh hanywi pombe!!!
Kwa hyo hapo anamtuza Huyo nyosh el sadaat hapo ni msikitini.NDAMA MUTOTO YA NG"OMBE ni ustadh hanywi pombe!!!
Subiri arudi toka malishoni.Wekeni picha ya "NDAMA MTOTO WA NG"OMBE"!
Mshamba flani hivii. Sema Sheep wake ukisema jamaa alikuwa mshamba watakuona kama haterYule Hushpuppi pimbi sana hata asingekamatwa alijiingiza kwenye radar za fbi baada ya kumtoa dinner supermodel wa marekani ye akijua anawapiga bao wanaijeria wenzake akidhani ni kama kutoka na wakina Huda. Hapo haikuchukua round fbi wakamjua nje ndani hawakutumia hata nguvu nyingi sabab lifestyle yake social media was a good red flag ndo ukawa mwisho wake. He was a spending fool