Ulanga-Kilombero kwetu kazi kwelikweli wana Jf......., tusubiri tuone yataishaje 2010.
kuna tetesi nimezipata punde kuwa pedeshee Mteketa atagombea ubunge jimbo la kilombero ambalo linashikiliwa na Castor Ligalama, wenye habari zaidi mtujuze huyu Mteketa ni yupi??????
ameshaunda timu yake ya kampeni? hakuna nafasi zinazohitaji watu, kama vile treasurer? mi niponipo hapa
Jimbo kuongozwa na pedeshee,umpi nafasi ya kushinda why???? AS far as politics is consened TANZANI ni kama kichwa cha mwendawazimu,any tom,dick and harry can govern.History has proved this right toka aondoke nyerere ourleaders have failed to live up to the billings.Mtekete could be a breath of fresh air,fearless,has street cred and has been there and seen it all.Kzi kweli kweli,Jimbo kuongozwa na pedeshee,papaa...Simpi nafasi ya kushinda
Kzi kweli kweli,Jimbo kuongozwa na pedeshee,papaa...Simpi nafasi ya kushinda
Be careful with words mamaaa.