PCM na PCB ipi iko fresh in case of ajira hapa tz?

King Gmt

Member
Mar 31, 2012
21
1
Ebwana mi nimechaguliwa kujiunga na fm 5 PCM OLD MOSHI na nataka mnishauri nibaki ama niende PCB,coz nahofia ajira mbeleni.
 
Ebu chagua unayoipenda.Jitahidi ufike ufaulu six,then uje kutuomba ushauri wa kozi.
Note:
zote mbili ajira zipo za kutosha.
 
siku hizi hatuulizi 'ipi ina ajira'. Wadogojanja wanauliza 'ipi ina MAKE MONEY'. Ukitaka ajira soma yoyote tu, halafu nenda ualimu.
 
Ebwana mi nimechaguliwa kujiunga na fm 5 PCM OLD MOSHI na nataka mnishauri nibaki ama niende PCB,coz nahofia ajira mbeleni.

Anaemaliza Form VI haajiriwi kutokana na alichosoma huko, ila wanaosoma cheti, diploma, shahada na kuendelea ndio huwa wanapata ajira walizosomea kwa kuwa wanakuwa na ujuzi husika.
Hizo combo zote ni za Sayansi, na hazina utofauti mkubwa sana, labda kama unataka kuja kusoma Sayansi za viumbe (udakitari, afisa mifugo, elimu ya viumbe-maji n.k.) itakulazimu uende PCB ili ujiweke pazuri. Na hata kama utaamua kuchukua PCM, alama za kidato cha 4 (C<) zitakubeba endapo somo husika hujalisoma A Level. Bado machaguo ni yako, unaweza kusoma yoyote, na kusiwe na athari kubwa katika masomo ya elimu ya juu.
Sawasawa?
 
weye angalia mbeleni baada ya form SIX ni nini utapenda kufanya

kama udaktari etc basi nenda PCB, kama mengine haswa engineering etc nenda PCM huu ni mfano nakupa wa weye kufikiria nini utataka soma kama utaendelea na masomo kuingia Level ya mbeleni.

haya kaongee na watu wa mavyuo au kama kuna wanaotoa ushauri walimu wako etc ujue nini unatapenda zaidi mbeleni baada ya A'leve; studies

kozi hizo zina hajira, ni wewe tu utafaulu? au utaweza kupasi interview za kazi? subiri ufike huko mbeleni

Good luck
 
Anaemaliza Form VI haajiriwi kutokana na alichosoma huko, ila wanaosoma cheti, diploma, shahada na kuendelea ndio huwa wanapata ajira walizosomea kwa kuwa wanakuwa na ujuzi husika.
Hizo combo zote ni za Sayansi, na hazina utofauti mkubwa sana, labda kama unataka kuja kusoma Sayansi za viumbe (udakitari, afisa mifugo, elimu ya viumbe-maji n.k.) itakulazimu uende PCB ili ujiweke pazuri. Na hata kama utaamua kuchukua PCM, alama za kidato cha 4 (C<) zitakubeba endapo somo husika hujalisoma A Level. Bado machaguo ni yako, unaweza kusoma yoyote, na kusiwe na athari kubwa katika masomo ya elimu ya juu.
Sawasawa?

ndio mkuu
 
weye angalia mbeleni baada ya form SIX ni nini utapenda kufanya

kama udaktari etc basi nenda PCB, kama mengine haswa engineering etc nenda PCM huu ni mfano nakupa wa weye kufikiria nini utataka soma kama utaendelea na masomo kuingia Level ya mbeleni.

haya kaongee na watu wa mavyuo au kama kuna wanaotoa ushauri walimu wako etc ujue nini unatapenda zaidi mbeleni baada ya A'leve; studies

kozi hizo zina hajira, ni wewe tu utafaulu? au utaweza kupasi interview za kazi? subiri ufike huko mbeleni

Good luck

thex for ur advic
 
kinachoangaliwa sasa hivi ni wewe kufaulu kidato cha Sita kwa combination yoyote ile iwe PCM ama PCB kutokana na matakwa yako baada ya hapo, ukipata nafasi ya kuingia Chuo ndo unaweza kuuliza ni Kozi gani inalipa na yenye ajira nje kwa nje.
 
umenikumbusha mbali sana mdogo wangu kwan nami nimesoma PCM hapo old moshi na wengi tuliingia na ndoto kibao kipind hicho pale combination zilikuwa mbili tu na cyo kama sasa kuna mpaka arts.kipind chetu kulikuwa na PCM na PCB tulikuwa tunaongelea uhandisi na udaktari tu lakin mda ulivyozid kwenda kila mtu akawa anabadilisha malengo yake.kuna waliofikiria ualimu pale pale kwa kuchukulia mifano ya walimu wa old moshi wengi wanamiliki magari na wengine wana biashara zao mjini pale na wengine wanafundisha shule za private zaid ya 2,na tupo tuliobakia na malengo yetu mpaka leo tunamaliza uhandisi wa mawasiliano na wengine.kuna challenge nying sana old moshi za walimu mpaka mazingira ya shule yako free mno sasa ni wewe tu uhamue kushinda outdoor au kubaki darasan kusoma,kuna mwalimu anaitwa mama Samanya yuko mkuu wa chemistry department uyu yeye atawaweka waz kabsa class kuwa ata yeye akupenda kuwa mwalimu na kufaulu kwako hakumsaidii kitu na upenda kumtoa mwanafunzi mmoja wa kusafisha ofisi yake at ze end atamtoa kwenye practical na nyie wengne mnakufa wenyewe.kuna wakina kinunda aka bomba la moshi ticha wa maths naye yuko shalow ila ana mabiti kama anajua vile
 
...congrats kwanza kwa kufaulu,na kama uko sirias unataka ushauri na si kutaka kuwajulisha wa2kwamba umefaulu ili uonekane kichwa basi mie nakupa ushauri ufuatao ambao si tofauti sana na wengine hapo juu;

1) PCM na PCB ;combination zote ni kama sawa,ukiongelea kuwa ni za sayansi na si arts.
2) AJIRA ;Dont think abt zis4now,kwa system ya elimu ya Tz,huwezi ajiriwa kwa vigezo vya combination babses,ONLY PROFESIONAL LEVEL,i.e having any Diploma or above Diplomaz certificate.
3) ITS OL ABT U ;unataka kuwa nani4future,sabu kusoma ki2ambacho hukipendi ila2sabu kuna urahisi wa ajira si shwari sana,kwa maana ya quality yako kazini,hutakuwa creative na kuinjoi kazi ambayo hukuwa na dream nayo ila upo2sabu ya maslahi.
4) Combination zote mbili zitakuruhusu kusomea chochote chuoni except ENGENEERING(i.e lazima uchukue PCM) or MEDICAL COURSES(i.e lazima uchukue PCB),kama2utafaulu fresh!!

So,mwisho ni kwamba,focus on whom U wana become,zen how U gona make it hapen by havin gud strategies on how2pass ur last ACSEE(i.e form 6 examz),ukimaliza hapo njoo na swali lako la AJIRA ukiwa na specific direction ya course unayotaka kusomea.
Lastly,kwa shule za serikali,nakushauri uanze kupiga pre-form 5 tuition mapema,sabu waalimu wenye moyo wa kufundisha ni wachache,and tm runs so fast ziz days!!!!
 
nani kakuambia pcb au pcm inaandikwa kwenye cv? amua mwenyewe au una weza kuwa kanumba, kikwete, sheik yahaya, dr salim, mwl j.k zote option afu ukishajua unataka nn fahamu unaweza nn!!!! zote ni njia ya kuamua. usitegemee pro na cons za humu ndo ufanyie maamuzi ebooooooooooo
 
Soma yoyote suala la ajira baada ya 4m6 halipo.....rudi tena baada ya matokeo ya form six utuombe ushauri tutakuambia ukasome kozi gani yenye mwelekeo wa ajira japo siku hizi ajira nazo sio nyepesi.
 
Soma yoyote suala la ajira baada ya 4m6 halipo.....rudi tena baada ya matokeo ya form six utuombe ushauri tutakuambia ukasome kozi gani yenye mwelekeo wa ajira japo siku hizi ajira nazo sio nyepesi.

0k!nimekupata bro.
 
Easy exit to university PCM!! Pcb uchuro 2,utajuta na utatamani kua ungesoma PCM! Ajira me naona zote poa ila PCB field ni ndogo(wigo mdogo wa coarses) PCM coarse nyingi tena za kuajiliwa na kujiajiri! Kikubwa unatakiwa ku work hard t doesnt cm easy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom