Habar wakuu Mimi Ni mhitimu wa kidatu cha sita kutokana na maamuzi wa wazee nililazimishwa kusoma sayansi A level japo Mimi napenda zaidi arts nimehitimu katika tahasusi ya PCM na Nina ndoto za kusoma Sheria.
Matokeo yangu Ni yafuatayo
Gs C
Phy C
Chem C
Adv maths B Div 1.8
Kuna wengi wananiambia kuwa kutokana na tahasusi yangu siwezi kusoma sheria/political science degree je nifanyaje?naomba ushauri
Matokeo yangu Ni yafuatayo
Gs C
Phy C
Chem C
Adv maths B Div 1.8
Kuna wengi wananiambia kuwa kutokana na tahasusi yangu siwezi kusoma sheria/political science degree je nifanyaje?naomba ushauri