abrah kingunge
Member
- Oct 18, 2012
- 14
- 0
mlioomba nafasi za kazi pccb wameanza kuita kwenye interview kuna dogo mtaani hapa kapigiwa jana simu,amesoma IT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tufanyeje.? Mitanzania ni mishamba sana kwenye mambo ya interview
Duh nawe, Mitanzani ni Mishamba??
mlioomba nafasi za kazi pccb wameanza kuita kwenye interview kuna dogo mtaani hapa kapigiwa jana simu,amesoma IT
Sio kweli! Uchambuzi wa maombi bado unaendelea na unategemea kukamilika January 2014. Jumla ya maombi ni 46,000, shortlist itakua 2000 tu!
Sio kweli! Uchambuzi wa maombi bado unaendelea na unategemea kukamilika January 2014. Jumla ya maombi ni 46,000, shortlist itakua 2000 tu!
basi tena hapo nimeishakosa
Mkuu vip, hizo taarifa kama ni nyeti sana halafu wewe unazo, niambie upo kitengo gani pale PCCB mkuu. Lazima utakua mtu mzito weweSio kweli! Uchambuzi wa maombi bado unaendelea na unategemea kukamilika January 2014. Jumla ya maombi ni 46,000, shortlist itakua 2000 tu!
Mkuu vip, hizo taarifa kama ni nyeti sana halafu wewe unazo, niambie upo kitengo gani pale PCCB mkuu. Lazima utakua mtu mzito wewe
hahhaahahhaha c unaona nishajua sasa ningeuliza kawaida mngeanza mitusi kama hilo jamaa hapo juu liliosema mitanzania,ok ni hvi dogo aliitwa migration na co pccb alinizngua.wikiend njema
basi tena hapo nimeishakosa