Kidatu ni bwawa
Rudia tuu shule na D zako hizo
Kidatu ❌
Kidato ✔️
Kabla hujasafiri nenda kaombe muongozo tcu, kwamba hicho chuo unachotaka kwenda kusomea huko Uganda ukija na cheti kitakuwa equivalent na graduate hata wa Bugando achilia mbali muhas, wakikujibu utapata pakianzia
Binafsi yangu nakushauri kasome diploma ya clinical medicine
😃😃😃🙌🏽🙌🏽 sawa mkuu narekebisha sasa hiviPakianzia ❌
Pa kuanzia
Dah hukosei mkuu watu makini kama ninyi mnahitajika sanaKidatu ❌
Kidato ✔️
Kabla hujasafiri nenda kaombe muongozo tcu, kwamba hicho chuo unachotaka kwenda kusomea huko Uganda ukija na cheti kitakuwa equivalent na graduate hata wa Bugando achilia mbali muhas, wakikujibu utapata pakuanzia
Binafsi yangu nakushauri kasome diploma ya clinical medicine
Ulikuwa unatafuta kosa 😀 ,tumsaidie mtoa mada kwanzaDah hukosei mkuu watu makini kama ninyi mnahitajika sana
Tayari ushaeleza yote na ajue kuwa MD sio lelemama kama hazichaji atulie tu kozi zipo nyingiUlikuwa unatafuta kosa 😀 ,tumsaidie mtoa mada kwanza
Mwalimu hadi spelling unazingatiaKidatu ❌
Kidato ✔️
Kabla hujasafiri nenda kaombe muongozo tcu, kwamba hicho chuo unachotaka kwenda kusomea huko Uganda ukija na cheti kitakuwa equivalent na graduate hata wa Bugando achilia mbali muhas, wakikujibu utapata pakuanzia
Binafsi yangu nakushauri kasome diploma ya clinical medicine
😃😃😃🙌🏽🙌🏽 sawa mkuu naedit sasa hivi
Dah hukosei mkuu watu makini kama ninyi mnahitajika sana
Siyo ishu kubwa, challenge kidogo tunogeshe uziMwalimu hadi spelling unazingatia
Naona unalalamika tuu, shida ni nini boss..?Mkuu, kwenye haya maisha tujijengee sana tabia ya kupenda kusaidia, ku-support, kutoa muongozo, kuwezesha......yaani tuangalie kitu in a positive way kuliko in a negative way mkuu.
Tusipende kukosoa, kudhihaki, kukebehi mtu anayekuomba msaada aisee, msaidie kama una UWEZO wa kumsaidia ila kama hauna UWEZO wa kumsaidia ni bora ukamuangalia tu mkuu.
Kuna watu huwa ni kweli wapo kwenye shida au tatizo anahitaji msaada kiukweli kabisa, analeta hapa jukwaani, sasa unakuta mtu anakuja anaanza ku-comment in a negative way. THIS IS NOT RIGHT MKUU.
Tujijengee moyo wa kupenda kusaidia hata kwa watu tusiowajua aisee.
Karma is real bro...!
Those Goes Around Comes Around.
Do Unto Others As Would Others Do Unto You.
This Is A Golden Rule.
Cheers...!
✊🏾👊🏾
Naona unalalamika tuu, shida ni nini boss..?
I can't agree with you moreMkuu, kwenye haya maisha tujijengee sana tabia ya kupenda kusaidia, ku-support, kutoa muongozo, kuwezesha......yaani tuangalie kitu in a positive way kuliko in a negative way mkuu.
Tusipende kukosoa, kudhihaki, kukebehi mtu anayekuomba msaada aisee, msaidie kama una UWEZO wa kumsaidia ila kama hauna UWEZO wa kumsaidia ni bora ukamuangalia tu mkuu.
Kuna watu huwa ni kweli wapo kwenye shida au tatizo anahitaji msaada kiukweli kabisa, analeta hapa jukwaani, sasa unakuta mtu anakuja anaanza ku-comment in a negative way. THIS IS NOT RIGHT MKUU.
Tujijengee moyo wa kupenda kusaidia hata kwa watu tusiowajua aisee.
Karma is real bro...!
Those Goes Around Comes Around.
Do Unto Others As Would Others Do Unto You.
This Is A Golden Rule.
Cheers...!
Acha acha kumdanganya kabisa hata apate A zote Foundation certificate ya open University hawezi kupata udaktari Wala pharmacy.Ile kozi nikwaajili ya kozi nyingine tu !Kwa sababu ya ushindani uliopoKafanye Foundation program Open University kaongeze qualifications