Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,288
Siku hizi requirements zimeshuka imekuwa D tatu wakati sisi tunasoma zilikuwa point 8...C mbili na D moja duh, haya mambo haya
Binafsi ningesema jaribu hiyo nje au urudi Diploma maana kuna watu wana DiV 1 point 9 na wamekosa though elimu ya UG wanasema haiko njema sana, ingekuwa Kenya ingekuwa nzuri zaid
Binafsi ningesema jaribu hiyo nje au urudi Diploma maana kuna watu wana DiV 1 point 9 na wamekosa though elimu ya UG wanasema haiko njema sana, ingekuwa Kenya ingekuwa nzuri zaid