PC sometimes inashindwa ku-reboot from hard disk, why?

PingPong

JF-Expert Member
Dec 21, 2008
926
160

Salaam wadau wote..
Naomba wakuu kama kuna mtu anaweza kusaidia kutatua hilo tatizo hapo juu, inawaka vizuri ila kuna muda inaweza kushindwa kuonyesha hata welcome page pia kuna muda ukijaribu tena inafunguka yote bila shaka. Imetumiiza vichwa mi na rafiki yangu na hatujajua tatizo ni nini, tulidhani labda kuna tatizo kwenye OS ila tumefanikiwa kuinstall OS mpya na tatizo lipo palepale, naomba wadau kama kuna mtu anaweza kutusaidia kwa hilo.
nyongeza: mtumiaji alikuwa hana tabia ya kuizima mara kwa mara PC ila alikuwa anaiscan.
shukran!
 
inahitaji investigation zaidi

je inapogoma ku-reboot inatoa error message yoyote au inakuwa black (as black screen of death)?

inawezekana ilikuwa reset ifanye booting kwa device nyingine tofauti na hard drive - CD au USB katika BIOS.

anyway, kabla sija-speculate na kukupa ushauri mbovu, toa maelezo zaidi kuhusu behaviour ya mashine yenyewe.

pia tujue ni specs gani - make + model, os, processor, memory na mambo kama hayo.hivi vitu viko specific sana.
 
inahitaji investigation zaidi

je inapogoma ku-reboot inatoa error message yoyote au inakuwa black (as black screen of death)?

inawezekana ilikuwa reset ifanye booting kwa device nyingine tofauti na hard drive - CD au USB katika BIOS.

anyway, kabla sija-speculate na kukupa ushauri mbovu, toa maelezo zaidi kuhusu behaviour ya mashine yenyewe.

pia tujue ni specs gani - make + model, os, processor, memory na mambo kama hayo.hivi vitu viko specific sana.


Ok mkuu nimekupata , hii mashine ni SAMSUNG ya mwaka 2003, desktop board D845GVSR, Intel celeron processor, DDR333/266/200, SDRAM memory, OS installed ni Window xp, first booting device ni hard drive. Ikigoma huwa haionyeshi error msg yoyote. Wakati mwingine ikikubali huwa hata ukirestart ndio inachemsha moja kwa moja.
 
SOMA HAPA - KABLA YA KWENDAKWA FUNDI
Windows XP Boot Sequence
When you hit the power button on your computer a whole lot of stuff happens. We call this the boot process. In the days when I first started using computers there was literally a "boot disk", a floppy (5.25" not a 3.5") disk that told the system where to go and what to do so that the operating system would start up. Since then the boot sequence has become somewhat more complicated. So let me take you thru the steps the computer takes to get started. For my example I'm going to use a Windows XP system.
  1. First is the POST, this stands for Power On Self Test, for the computer. This process tests memory as well as a number of other subsystems. You can usually monitor this as it runs each test. After that is complete the system will run POST for any device that has a BIOS (Basic Input-Output System). An AGP has its own BIOS, as do some network cards and various other devices.
  2. Once the POST is complete and the BIOS is sure that everything is working properly, the BIOS will then attempt to read the MBR (Master Boot Record). This is the first sector of the first hard drive (called the Master or HD0). When the MBR takes over it means that Windows is now in control.
  3. The MBR looks at the BOOT SECTOR (the first sector of the active partition). That is where NTLDR is located, NTLDR is the BOOT LOADER for Windows XP. NTLDR will allow memory addressing, initiate the file system, read the boot.ini and load the boot menu. NTLDR has to be in the root of the active partition as do NTDETECT.COM, BOOT.INI, BOOTSECT.DOS (for multi-OS booting) and NTBOOTDD.SYS (if you have SCSI adapters)
  4. Once XP is selected from the Boot Menu, NTLDR will run NTDETECT.COM, BOOT.INI and BOOTSECT.DOS to get the proper OS selected and loaded. The system starts in 16-bit real mode and then moves into 32-bit protected mode.
  5. NTLDR will then load NTOSKRNL.EXE and HAL.DLL. Effectively, these two files are windows XP. They must be located in %SystemRoot%System32.
  6. NTLDR reads the registry, chooses a hardware profile and authorizes device drivers, in that exact order.
  7. At this point NTOSKRNL.EXE takes over. It starts WINLOGON.EXE that in turn starts LSASS.EXE, this is the program that display the Logon screen so that you can logon.
Nukuu kutoka : http://pcs.suite101.com/article.cfm/windows_xp_boot_sequence

STEP YA KWANZA YA PC KUWAKA HAITEGEMEI OS INSTALLED
 
mkuu Baba_Enock nashukuru sana kwa shule hiyo safi na muhimu, maana wengi wetu tunajua kuwa ukiiwasha tu lazima iwake, kumbe kuna mambo kibao yanapitiwa ili zoezi zima litimie, shukran mkuu..
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom