PAYE kwa wafanyakazi

finance2014

JF-Expert Member
Aug 8, 2014
314
79
Habari za leo wanajamii naomba kujuzwa kuhusu suala la Paye, kama kampuni ni mpya ni lini wanafanyakazi wanatakiwa waanze kulipia, je ni pindi pale wanapoanza kulipwa mshahara au ni baada ya muda fulani
 
Back
Top Bottom