Pay stubs za mshahara wa Rais

.....hivi na wewe umenasa mtego wa kujadili hili mkuu, unaweza kuletewa pay stubs mpaka za laki moja sasa badala ya milioni, nn kinashindikana kwa mfano!!! Tupige kazi tuachane na hii maneno!!!!!

Ndo umuhimu wa transparency unapokuja sasa.

Kupiga kazi bila transparency ni sawa na kulenga shabaha gizani.

Na bila transparency kamwe hatutaweza kuwa na utawala bora.

Hivi kwa mfano wewe binafsi hupendi kujua kodi unazolipa zinatumikaje?
 
Ndugu zangu, Salaam!
Hivi ninyi mnataka rais wa namna gani iwapo kwa siku hizi tu mumeanza kukosoa mambo ambayo kimsingi hayatusaidii! Binafsi sioni haja ya rais kuonesha vitu hivyo unavyotaka wewe, hii hali ya kuanza kujenga taswira mbaya kwa Rais wetu ni kinyume cha ubinadamu - Mpeni ushirikiano atekeleze ahadi zake kwa wananchi maskini
 
Ndugu zangu, Salaam!
Hivi ninyi mnataka rais wa namna gani iwapo kwa siku hizi tu mumeanza kukosoa mambo ambayo kimsingi hayatusaidii! Binafsi sioni haja ya rais kuonesha vitu hivyo unavyotaka wewe, hii hali ya kuanza kujenga taswira mbaya kwa Rais wetu ni kinyume cha ubinadamu - Mpeni ushirikiano atekeleze ahadi zake kwa wananchi maskini

Kwanza, ni yeye mwenyewe aliyesema kwamba atazionyesha baada ya kurudi Dar kutoka huko Chato (kwa mujibu wa ilivyoripotiwa).

Pili, suala zima la malipo ya viongozi wa umma lingekuwa ni suala wazi, huku kukumbushana wala kusingekuwepo.

Tatu, mbona viongozi wa mataifa mengine mishahara yao na malipo yao yanajulikana? Kwa nini hamtaki hawa wa kwetu malipo yao yasijulikane ilhali nyie wananchi ndo mnawalipa?
 
My God, kwani wewe tunafahamu unatumia vipi mapato yako - Suala linapokuwa mshahara huwa mali ya mwenye mshahara na si vingnevyo - usitupotoshe plz na hapa si busara kabisa kuhoji mshahara wa rais wetu
 
My God, kwani wewe tunafahamu unatumia vipi mapato yako - Suala linapokuwa mshahara huwa mali ya mwenye mshahara na si vingnevyo - usitupotoshe plz na hapa si busara kabisa kuhoji mshahara wa rais wetu

Kuna watu mna vichwa vizito!
 
Kwa sababu alitoa ahadi hiyo kupitia vyombo(chombo) vya habari basi waliohusika na taarifa hiyo wanapaswa wamkumbushe mheshimiwa rais kuhusu ahadi hiyo.
 
Hukushukuru na kurdhika aliposema mshahara wake uliouhitaji kuujua bali ulitaka na posho, baadaye utataka ujue anazitumiaje.
Hakuna haja ya kuendelea kuwajibu watu wenye akili ya kusukumwa. Kwanini maswali yamekuwa yakiongezeka kila anapotoa jibu ikiwa na maana muuliza maswali anasubiri aambiwe cha kuuliza.

Huyu hapa real hakuna stunts :-

Worlds-Poorest-President-5.jpg


This Man Is The World’s Poorest President, But The Reason Why He’s Poor Will Surprise You.
You might not believe it, but Jose Mujica, president of Uruguay since 2010, is known to be the world’s poorest president. Jose donates more then of 90% of his $12,000 per month salary to benefit the poor and to help small entrepreneurs. If we need more of anything in this world, it would be more people like this! This man doesn’t put value on his appearance or clothes. He is criticized for his posture and clothes, but Jose puts more value on other things in life instead. Before his presidency, he was a guerilla fighter for Tupamaros, which acted like “Robin hood.”
Worlds-Poorest-President-6.jpg

They literally robbed evil banks, gun clubs, and other businesses to give to the poor. He truly believed that his value was not in gaining more money, it was in the wellbeing of his country and people. He was imprisoned 2 times for a total of 14 years and shot 6 times after an escape attempt, But he still continues to fight for the people even in his high office now as president of Uruguay. Mujica could live in this beautiful Presidential house, but has chosen a more humble place to live. He is a honest example of a president that gives up his own comfort for the wellbeing of others. …And this is where he lives, on a farm with his wife and dog. He is also working to change the fancy presidential house into a museum that pays honor to past presidents. There’s no reason for money, fame, and a nice place to sleep when you can be humble and live on a farm. This president lives the life! His part time farming job, keeps him aware of the struggles and life that most other people of his country go though. He also grows and then sells flowers from his farm. You can see him frequently driving his old 1987 Volkswagon Beetle. He doesn’t need a fancy Bentley, because he doesn’t care about having a extravagant appearance. His people are what matters and what matters are his people.
Worlds-Poorest-President-7.jpg

Jose’s protection consists of two guards and his 3 legged dog named Manuela. Even though he is known as the poorest president, he strongly disagrees. He says, “I’m not the poorest president. The poorest is the one who needs a lot to live… My lifestyle is a consequence of my wounds. I’m the son of my history. There have been years when I would have been happy just to have a mattress.” This president’s example is a testament to how we should live our lives. We don’t need more things to be happy. In fact, some of the most wealthy people in the world, have their wealth stored in the currency of unselfishness, kindness, and true love. Maybe its time for a change? The world needs more people like this. Don’t you agree?

Read More Here: astoundable.com/worlds-poorest-president/
 
Mh rais wetu akiwa mapumzikoni kwao Chato alipiga simu kituo kimoja cha Tv na kutaja kile alichosema analipwa kama mshahara wake kwa mwezi. Na kwa kutaka kutuaminisha zaidi akasema akirudi Dar ataweka salary slip zake hadharani.

Tunajua rais wetu yuko busy sana kutumbua watumishi na kuisimamia serikali yake. Basi tutumie uzi huu kumkumbusha kwamba kwa sababu taarifa ya mshahara wake iliwatisha wengi na wapo ambao hawakuamini, tumuombe kwa heshima kubwa atoe salary slip hizo hadharani kama alivyohaidi.

Alipotoa ahadi hiyo nilimuuliza kigogo mmoja serikalini kwamba anadhani bwana mkubwa atatekeleza ahadi yake? Jibu lake lilinifanya nihisi kuna kitu hakiendi vizuri serikalini. Alisema watanzania hamchoki single za DIAMOND!
 
Mh rais wetu akiwa mapumzikoni kwao Chato alipiga simu kituo kimoja cha Tv na kutaja kile alichosema analipwa kama mshahara wake kwa mwezi. Na kwa kutaka kutuaminisha zaidi akasema akirudi Dar ataweka salary slip zake hadharani.

Tunajua rais wetu yuko busy sana kutumbua watumishi na kuisimamia serikali yake. Basi tutumie uzi huu kumkumbusha kwamba kwa sababu taarifa ya mshahara wake iliwatisha wengi na wapo ambao hawakuamini, tumuombe kwa heshima kubwa atoe salary slip hizo hadharani kama alivyohaidi.

Alipotoa ahadi hiyo nilimuuliza kigogo mmoja serikalini kwamba anadhani bwana mkubwa atatekeleza ahadi yake? Jibu lake lilinifanya nihisi kuna kitu hakiendi vizuri serikalini. Alisema watanzania hamchoki single za DIAMOND!

Hilo lina tija gani kwa taifa badala kuendeleza mapambano na mafisadi!
 
Kw serikari za ki africa usiasa umetukaa sana, cthani kama anaweza fanya hvy hz zilikuwa mbwembwe za kuufuraisha uma.
 
Back
Top Bottom