Pay before bill

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,670
"pay before bill" ni tangazo nililolikuta chumbani kwa mdada mmoja wakati naenda kumtindua ghetoni kwake,

Hakika sikuongea nilichofanya ni kuzama mfukoni na kutoa mwekundu mmoja na kifaru kwa sababu ya kulipia huduma,

Mwanzo nilimuona mwema kila jumapili kumkuta na biblia mkononi akienda kanisani, nikajigeuza mtoto wa mchungaji ili kumpata kumbe ni muuzaji anaetembea na label chumbani kwake,


Niwapongeze wadada wa mjini kwa kujiongeza,





CC Zero IQ
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom