Ni tanzania tuu huu ujinga unafanyika badala ya kuchukuliwa hatua kwa kile kitendo cha utovu wa nidhamu akapewa cheoKama alimpiga waziri mkuu mstaafu kwa mikono yake mwenyewe na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi yake sasa unategemea nani atamchukulia hatua kwa kuoanda pikipiki..
mkuu kwa kujenga hoja nimekukubali,hivi kweli nani yuko tayari kutuhakikishia kwa asilimia mia moja kwamba huyu ni makonda?kwa ushahidi gani?still picture haitoshi,kuna watu kufanana na pia siku hizi "photo shop"kwa kuunga unga sura halisi na mwili bandia nje nje.kwa hiyo tusidharau hoja yako.Sio yeye, umemfanisha. Duniani wawili wawili.
Tuna uhakika gani kwamba hujaunga sura ya mh.makonda kwenye mwili wa raia aliyepanda boda boda?manake hapa nilipo nami nikipata picha yako yoyote naweza kukutumia picha yako "fake"ukiwa unalihutubia baraza la usalama la umoja wa mataifa huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akikusikiliza kwa makini.
kwani hiyo picha ni uwongo porojo nyingi za nini?UKAWA kuna watu mnapenda sana kuwaona hawafanikiwi lakini mnabaki kuumia ndani kwa ndani. Mmehangaika sana na SMS ya waziri Muhongo Rais wala hajajisumbua kusikiliza upuuzi unaotoka midomoni mwenu. Huyu Makonda nae mnamsakama hovyo tu, na cheo kikubwa kinamngojea na kwa uwezo wake atapiga sana kazi. Chuki za kibwege hazijengi hata siku moja.
bora ungezaliwa kipofu kuliko kupewa macho lakini huoni kwanza unajua picha za kuunganishwa?Tuna uhakika gani kwamba hujaunga sura ya mh.makonda kwenye mwili wa raia aliyepanda boda boda?manake hapa nilipo nami nikipata picha yako yoyote naweza kukutumia picha yako "fake"ukiwa unalihutubia baraza la usalama la umoja wa mataifa huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akikusikiliza kwa makini.
Picha ni sehemu ndogo sana ya ujumbe niliouandika. Ambao wewe umeujibu.kwani hiyo picha ni uwongo porojo nyingi za nini?
Mhe.JPM ameshasema akipanda cheo msimuonee wivu kwani anajituma kwenye kazi. ..hivyo sasa waandamwe na maDC wa TMK na ILALA nahisi kama wamesinzia vile.