Paulo Makonda akiwa kwenye pikipiki bila kuvaa helmet yeye na dereva wake

Wakulaumiwa ni mwenye pikipiki ndoo anatakiwa awe na helmet. Kwani na sisi abilia tuwe tuzinunue! Tuwe tunatembea nazo?
 
Kweli wote wanamakosa lkn hapo ndipo tunaona viongazi wetu hawafati sheria. Yeye anafanya kama abilia wa kawaida anasahau kama yeye ni kioo cha jamii anakulupuka kupanda pikipiki bila helmet
 
haya ww kubenea tumekusikia, nenda kaiandike kwnye gazeti lako la mwanahalisi si ndo zako. lkn kaa ukijua hilo gazeti lako huku kitaa hatulisomi tena ila 2nalitumia kufungia vitumbua na kababu

Mkuu, ongea nafsi yako tu. Husomi Mwanahalisi na nani? Sisi wengine tunasoma magazeti yote, hata Uhuru.
 
haya ww kubenea tumekusikia, nenda kaiandike kwnye gazeti lako la mwanahalisi si ndo zako. lkn kaa ukijua hilo gazeti lako huku kitaa hatulisomi tena ila 2nalitumia kufungia vitumbua na kababu

Mkuu, ongea nafsi yako tu. Husomi Mwanahalisi wewe na nani? Sisi wengine tunasoma magazeti yote, hata Uhuru.
 
Hapo pasipo kuchunguza makosa mengine ya hicho chombo na dereva wake, tayari wana makosa mawili ya kutovaa helmet ambapo fine yake ni sh30,000@
Mgema akisifiwa...

Watakwambia walikuwa wanaigiza............:(:(:(
 
chuki binafsi. Makonda yupo juu kamfunika hata boss wake mkuu wa mkoa wa DSM. HICHO UNACHOKIZUNGUMZIA ni immaterial hakimfanyi kukosa tick tick tick
ana sifa zote za kua kiongozi mzuri
una mawazo mgando kama akili soma kilichoandikwa na wewe ulichokiandika
 
Hivi police hawakumuona?? Au kwa vile ni DC kwake yeye kuvunja sheria ni kawaida ila wengine noooooooo.
 
Back
Top Bottom