Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Limeripoti Gazeti la Uhuru Leo. Ni dhahiri hata WanaCCM baadhi wameishaanza kuona Umbea wa Kiongozi mkuu wao. Maana naye kageuka kama Yule wa awamu ya nne ni Majungu, Umbea na Visasi majukwaani.
Yaani Nchi inakuwa kama inaongozwa na waimba taarabu.
Kama mnataka muonekane kama Nyerere tafadhali igeni yoote na si mengine mnabagua.
Hata hivyo nimemuelewa Mzee Mwinyi kuwa hakuna hata mmoja anayemsogelea Nyerere kwa mbaali. Sasa hivi tumerudishwa kwenye Ukabila ambalo Nyerere alipinga kwa nguvu zake zoote na akajitahidi kutuunganisha ili woote tuwe kama ndugu.
Yaani Nchi inakuwa kama inaongozwa na waimba taarabu.
Kama mnataka muonekane kama Nyerere tafadhali igeni yoote na si mengine mnabagua.
Hata hivyo nimemuelewa Mzee Mwinyi kuwa hakuna hata mmoja anayemsogelea Nyerere kwa mbaali. Sasa hivi tumerudishwa kwenye Ukabila ambalo Nyerere alipinga kwa nguvu zake zoote na akajitahidi kutuunganisha ili woote tuwe kama ndugu.