pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,653
- 13,709
Na wafu wataombwaje msamaha
Kuanzia kiunoni mpaka kwenye viatu sioni jinsia ya kiume, au macho yangu ya uzee?Paul atarudi siku Mpango au Chongolo watakapoachia viti vyao. Aliwadhalilisha vyakutosha.View attachment 1981368
Mmoja ya watu wasiojua thamani ya unyrnyekevu unapopewa nafasi ya ummaPaul atarudi siku Mpango au Chongolo watakapoachia viti vyao. Aliwadhalilisha vyakutosha.View attachment 1981368
Lakini makonda bado ni kijana sana! Hao unaowataja ten years ahead wanaweza wasiwepo kwenye nafasi hizo na Makonda akapata nafasi tena vizuri tu! Hatima ya mtu haiko kwa watu ipo kwa Mungu tusikariri maisha!Makonda hakuna anayemtaka hata kumsikia sasa hv ndani ya CCM..
1: Mwenyekiti hataki hata kumsikia anatia kichefuchefu
2: Katibu Mkuu CCM ndio kabisa alivyomwaibisha akiwa DC, hapana aisee.
3: Alichomfanyia Ridhiwani Kikwete mnakumbuka? Sasa eti Msoga family imsaidie? Hilo halipo sahau kabisa. Hata ingekuwa mm nisingekubali milele.
4: Wanachama wengi ndani ya CCM ndio kabisaa hata kumsikia tu hawataki na wanajua jinsi watu wanamchukia, sbb siasa ni upepo.
Daudi his time was over.
Lakini makonda bado ni kijana sana! Hao unaowataja ten years ahead wanaweza wasiwepo kwenye nafasi hizo na Makonda akapata nafasi tena vizuri tu! Hatima ya mtu haiko kwa watu ipo kwa Mungu tusikariri maisha!
Kweli kabisa hasa kwa mwenyekiti Mbowe nafikiri maagizo aliyopewa na baba mkwe ni mazito Sana,kwamba chama ni uchumi asimwachie mwingine ila siku kikikosa pesa hata chasaka anaweza kuwa mwenyekiti.Kwani ulishawahi kwenda kuchukua fomu kugombea ubunge au udiwani ukanyimwa kisa mtoto wa fulani kachukua fomu!??
Pili usishangae ya CCM tu hata huku Chadema yapo sana, mzee wa Kichaga bw Mtei muasisi wa Chadema alimrithisha chama mkwe wake ndugu Freeman Mbowe, kilichofuatia ni kuanzia safu ya utendaji mpaka teuzi viti maalum ni wa kujuana tena based on ukabila na ukanda,,, humo utawakuta kina Lucy Owenya, mzazi mwenza wa Mbowe Joyce Mukya, dada yake Tundu Lissu akiitwa Christina Lissu na wengine kadha wa kadha
Alikuwa akinichanganya sana, maana kazi ilikuwa inapigwa kweli kweli, na akibutua anabutua kwelikweli.Paul atarudi siku Mpango au Chongolo watakapoachia viti vyao. Aliwadhalilisha vyakutosha.View attachment 1981368
Acha kutokana watuUnadhani msukuma hana pesa? Kwa nini anang'ang'ania ubunge?
Chenge hana pesa? Mo Dewji hana pesa? Kwa nini aligombea ubunge? Manji hana pesa? Kwa aligombea udiwani?
Stupid.
Ulitaka kusema nini?Acha kutokana watu
Unajua maana ya mamlaka?
Wewe ndiye DAB mwenyewe.Una bet?
Nadhani haujui paulo ana maisha mazuri na anapiga hela zaidi sasa kuliko zamani
Trust me
Wewe DAB tulia. Mbona una mchecheto sana.Mswahili bana, watu wanapiga hela, kijana ni tajiri
Unamnyosha kwa lipi?
Maskini bana
Atoe misaada wakati mamlaka ya kudhulumia hana? Hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.Mbona hatoi tena misaada?
Ila kila mtu lazima alipwe kutokana na mstendo yake ili wengine wajifunze kupitia yeye. Ile samehe saba mara sabini ibaki huko kwenye dini. Huku ukiua kwa makusudi kabisa utafungwa maisha au kunyongwa.Watu hubadilika mkuu
Aliyekua mbaya aweza kuwa mwema na aliyekua mwema aweza kuwa mbaya kupitiliza
Hata Sauli aliyekua muuaji alipopata neema ya Mungu alimtumikia Mungu na watu kwa uaminifu na ukamilifu
Tusihukumu watu kwa historia
Hatari snAtoe misaada wakati mamlaka ya kudhulumia hana? Hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.