Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,887
- 43,461
Baada ya Tume haki za Binadamu kusema wazi kuwa kwenye uchunguzi wake imeshindwa kubaini kama Mbunge wa Babati Paulin Gekul alitenda kosa la kumuingiza chupa kijana yule sehemu za siri!
Hivyo ni wazi Paulin Gekul atarejeshewa uwaziri baada ya kutumbuliwa kimakosa!
PIA SOMA
- Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora yasema madai ya Mbunge Gekul kumfanyia kijana udhalilishaji hayakuweza kuthibitishwa
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
- Tume ya Haki za Binadamu (THBUB) kuchunguza tuhuma za Pauline Gekul
Hivyo ni wazi Paulin Gekul atarejeshewa uwaziri baada ya kutumbuliwa kimakosa!
PIA SOMA
- Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora yasema madai ya Mbunge Gekul kumfanyia kijana udhalilishaji hayakuweza kuthibitishwa
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
- Tume ya Haki za Binadamu (THBUB) kuchunguza tuhuma za Pauline Gekul