Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,485
- 34,789
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mtoto mzuri , mwenye umbo matata na mwenye asili ya kimamtoni Paula wa Kajala amethibitisha kuwa sasa yupo kwenye penzi zito na nyota wa bongo fleva ambaye pia ni mmiliki wa label ya Next level music anayetamba na kibao chake cha KELEBE alicho mshirikisha mega star from Kongo Innoss b, Rayvanny mtu mbadi...
Paula amepost akiwa amevalia vazi lenye rangi ya ngozi ya chui na kuweka ujumbe wazi huku pia emoj zikidhibitisha Hilo...
Ikumbukwe kuwa jina chui na sifa zake ni nembo anayotumia Rayvanny kwenye shughuli zake za music..
Paula amepost akiwa amevalia vazi lenye rangi ya ngozi ya chui na kuweka ujumbe wazi huku pia emoj zikidhibitisha Hilo...
Ikumbukwe kuwa jina chui na sifa zake ni nembo anayotumia Rayvanny kwenye shughuli zake za music..