KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,694
- 4,419
Binti awe makini
Yuko kwenye peak
Akicheza tu....awaulize kina Wema
Yuko kwenye peak
Akicheza tu....awaulize kina Wema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nawapitia sio kupitiwa,hata wewe ukitaka nakupitia then utasema unahitaji nikuonge nini
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Photoshoot za Baharini na pipi kijitiHiyo menejimenti imsimamie kwenye nini yani?
Ila kweliAngekuwa mjanja angefungua Massage Parlor kutembea na upepo wa hizo kiki zake akiashiria kuwa kuna huduma itapatikana toka kwake ila ni kuvutia biashara najua wakware wengi wangevunja account tu ilimradi wafike na kupata huduma kwenye massage centre yake!
View attachment 1849613
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.
Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.
Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.
Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.
Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
Wanakosa washauri wazuri tu hawa watu katatatuliwa marinda akija kushtuka 28 hii hapa wamemgombania kama mpira wa kona 😂😂😂 anabakia na aibu kama wemaIla kweli
Kajala kamkosea sana huyu mtoto.Wanakosa washauri wazuri tu hawa watu katatatuliwa marinda akija kushtuka 28 hii hapa wamemgombania kama mpira wa kona 😂😂😂 anabakia na aibu kama wema
Ana tatizo flani nadhani! She is so out of control! That child was supposed to be exiled from what her mom is doing for a living! Abakie kuwa mtoto tu atleast kuwe na mipango mizuri kwa ajili ya maendeleo yake ila kuachwa ajiendee kama mbuzi mara dating na wasanii, picha za ajabu, clubbing ni vitu ambavyo alitakiwa awe restricted ili kulinda image yake kwenye jamii ila ndio hivyo mama kichwa maji ataharibu image ya mtoto reference ije kuwa tu ni malayaKajala kamkosea sana huyu mtoto.
Nikikumbuka maisha alikuwa nayo enzi hizo Jitegemee!
Ilibidi awe mlinzi sana wa mwanae.
Wenzie tulikuwa wehu ila watoto wetu tunalinda kama mboni.
Sijui mama wa aina gani yule.
Af hajaaaaali aiseeeh.
Kabisa.Ana tatizo flani nadhani! She is so out of control! That child was supposed to be exiled from what her mom is doing for a living! Abakie kuwa mtoto tu atleast kuwe na mipango mizuri kwa ajili ya maendeleo yake ila kuachwa ajiendee kama mbuzi mara dating na wasanii, picha za ajabu, clubbing ni vitu ambavyo alitakiwa awe restricted ili kulinda image yake kwenye jamii ila ndio hivyo mama kichwa maji ataharibu image ya mtoto reference ije kuwa tu ni malaya
Akili mbovu tuKabisa.
Yani unaridhikaje mwanao kuwa na same bitter path ile.
Kajala nn asichojua kuhusu kutumika kingono, P funk ana tofauti gan na rayvanny wa leo.
Na huyu canny ni sasa.
Way back huko kulikuwa na dogo janja, sijui kina nani.
Mtoto kachakazwaaaaa, mamake yuko anacheka cheka tu kama mbweha.
Mi nilipata first born when 17.
The nilivyo over protective nae, Siku aliniambia mom, relax I understand your pressure.
I won't be you.
Mwaka wa pili now UD, mpk namuadmire.
Sasa ndo nikitizama kajala najiuliza, ule uchungu wa kuzaa mtoto umri ule mwenzenu aliusahauje?
Leo anamexpose mtoto kwenye vitu ambayo, dah!!
Duh people have eaten some saltKabisa.
Yani unaridhikaje mwanao kuwa na same bitter path ile.
Kajala nn asichojua kuhusu kutumika kingono, P funk ana tofauti gan na rayvanny wa leo.
Na huyu canny ni sasa.
Way back huko kulikuwa na dogo janja, sijui kina nani.
Mtoto kachakazwaaaaa, mamake yuko anacheka cheka tu kama mbweha.
Mi nilipata first born when 17.
The nilivyo over protective nae, Siku aliniambia mom, relax I understand your pressure.
I won't be you.
Mwaka wa pili now UD, mpk namuadmire.
Sasa ndo nikitizama kajala najiuliza, ule uchungu wa kuzaa mtoto umri ule mwenzenu aliusahauje?
Leo anamexpose mtoto kwenye vitu ambayo, dah!!
Umaarufu una mwisho ila ukiutumia vizuri unakulipa mara 100 ya elimu. Wema ana maisha mazuri kuliko mamilion ya graduates na angekuwa mbali sana kama sio drugs.Umaarufu una mwisho wake , Elimu haina mwisho msimpotoshe, wako wapi akina nora? , wema?
View attachment 1849613
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.
Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.
Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.
Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.
Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
Anacho kikubwa tu ambacho kina demand kwenye soko la burudani.Brand!!!! kama hana product endelevu ya kupeleka sokoni yenye demand kubwa ni kumpoteza maboya mtoto wa watu. Hana chochote cha kufanya zaidi ya uvideo vixen, photoshoot kutangaza brand za watu kwa malipo kiduchu labda sana na event appearance nazo kwa malipo kiduchu.
Nchi yetu bado ni masikini, hivyo hivyo na industry bado ni masikini sana, issues kama Gigs na showbize bado hazina pesa kiasi hicho, na kwa wasanii hakuna msanii anaweza kuja na bidhaa yenye brand yake akaipush sokoni ika-boom. Wapo akina Flavian matata baada ya uwekezaji mkubwa wanapush product zao zinatoka lakini sio kwa ukubwa huo.
Paula kutengeneza pesa hizo mnazomuaminisha kupitia jina kibongo bongo ni uongo, labda kutengeneza umaarufu ambao utampa "pesa madafu tu". Njia walizopita akina Kyle Jenner huku haziko applicable.
Ni socialite.. I know unajiuliza sana anapata pesa kwa kuuza nini? Ndio maana unaishia ku-conclude tu atauza K maana ndio level ya uelewa wako inapoishia.Ni msanii wa nini huyu?
Unajua kuna watu bado wapo gizani sana. Wema pesa anayo japo sio ambayo wengi tulitamani awe nayo ila inawezekana wema kashika pesa ambazo wengi wao hata maprofesa waliowafundisha wanasubiri kuzishika wakati wa pension.Kinachokufanya umhukumu Wema ni kipi ? Unataka kusema wema ameharibikiwa Sana maisha kuliko graduate wote mjin hapa kisa Hana Elimu ..... Wema sio choka mbaya kama unavyofkri