Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Mkuu wa mkoa ametaka jumapili tucheze mziki mnene kusheherekea kuisha kwa Corona.
Ila Ushauri tu, aache siasa kwenye maisha ya watu, atadaiwa damu hii kuanzia kwa Keegani mpaka kizazi cha nne.
Nawashauri watu wafuatao wasitoke nje hiyo siku...
Duh kupitia hiyo list nimejikuta kumbe na mimi muhenga.
 
Mkuu wa mkoa ametaka jumapili tucheze mziki mnene kusheherekea kuisha kwa Corona.
Ila Ushauri tu, aache siasa kwenye maisha ya watu, atadaiwa damu hii kuanzia kwa Keegani mpaka kizazi cha nne.
Nawashauri watu wafuatao wasitoke nje hiyo siku...
Danieli 1:5,8,10,12-13,16,18-20
[5]Huyo mfalme akawaagizia posho ya chakula cha mfalme, na ya divai aliyokunywa, akaagiza walishwe hivyo muda wa miaka mitatu; ili kwamba hatimaye wasimame mbele ya mfalme.

[8]Lakini Danieli aliazimu moyoni mwake ya kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme, wala kwa divai aliyokunywa; basi akamwomba yule mkuu wa matowashi ampe ruhusa asijitie unajisi.

[10]Mkuu wa matowashi akamwambia Danieli, Mimi namwogopa bwana wangu, mfalme, aliyewaagizia ninyi chakula chenu na kinywaji chenu; kwa nini azione nyuso zenu kuwa hazipendezi kama nyuso za vijana hirimu zenu? Basi kwa kufanya hivyo mtahatirisha kichwa changu mbele ya mfalme.

[12]Tafadhali utujaribu sisi watumishi wako muda wa siku kumi; na watupe mtama tule, na maji tunywe.

[13]Kisha nyuso zetu zitazamwe mbele yako, na nyuso za wale vijana wanaokula chakula cha mfalme; ukatutendee sisi watumishi wako kadiri ya utakavyoona.

[16]Basi yule msimamizi akaiondoa posho yao ya chakula, na ile divai waliyopewa wanywe, akawapa mtama tu.

[18]Hata mwisho wa siku zile alizoziagiza mfalme za kuwaingiza, mkuu wa matowashi akawaingiza mbele ya mfalme Nebukadreza.

[19]Naye mfalme akazungumza nao; na miongoni mwao wote hawakuonekana waliokuwa kama Danieli, na Hanania, na Mishaeli, na Azaria; kwa hiyo wakasimama mbele ya mfalme.

[20]Na katika kila jambo la hekima na ufahamu alilowauliza mfalme, akawaona kuwa walifaa mara kumi zaidi ya waganga na wachawi waliokuwa katika ufalme wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Danieli 1:5,8,10,12-13,16,18-20
[5]Huyo mfalme akawaagizia posho ya chakula cha mfalme, na ya divai aliyokunywa, akaagiza walishwe hivyo muda wa miaka mitatu; ili kwamba hatimaye wasimame mbele ya mfalme...
you nailed it
 
Mkuu wa mkoa ametaka jumapili tucheze mziki mnene kusheherekea kuisha kwa Corona.
Ila Ushauri tu, aache siasa kwenye maisha ya watu, atadaiwa damu hii kuanzia kwa Keegani mpaka kizazi cha nne.
Nawashauri watu wafuatao wasitoke nje hiyo siku...
nimo pote humo siku hiyo siji najifukiza tu sitaki tabu
 
Danieli 5:1-5
[1]Belshaza, mfalme, aliwafanyia wakuu wake elfu karamu kubwa akanywa divai mbele ya elfu hao.

[2]Belshaza, alipokuwa akionja ile divai, akaamuru wavilete vile vyombo vya dhahabu na fedha, ambavyo baba yake, Nebukadreza, alivitoa katika hekalu lililokuwako Yerusalemu; ili kwamba mfalme, na wakuu wake, na wake zake, na masuria wake, wapate kuvinywea.

[3]Basi wakavileta vile vyombo vya dhahabu, vilivyotolewa katika hekalu la nyumba ya Mungu lililokuwako Yerusalemu; na mfalme na wakuu wake, na wake zake, na masuria wake, wakavinywea.

[4]Wakanywa divai, wakaisifu miungu ya dhahabu, na ya fedha, na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe.

[5]Saa iyo hiyo vikatokea vidole vya mkono wa mwanadamu, vikaandika katika chokaa ya ukuta wa nyumba ya enzi ya mfalme, mahali palipokikabili kinara; naye mfalme akakiona kitanga cha ule mkono ulioandika.
Mkuu wa mkoa ametaka jumapili tucheze mziki mnene kusheherekea kuisha kwa Corona.

Ila Ushauri tu, aache siasa kwenye maisha ya watu, atadaiwa damu hii kuanzia kwa Keegani mpaka kizazi cha nne.
Nawashauri watu wafuatao wasitoke nje hiyo siku.

Kama uliwahi:
1. kushuhudia maduka ya ushirika, RTC, TES au
2 uliwahi kuyaona maduka ya viatu ya BORA na MORO SHOES better yet.
3. kama uliwahi kujipaka mafuta ya Yu au Yolanda...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Mungu atusaidie, Huu ni ushindi mkubwa kwa wote wanaomwamini YESU.

Yesu alisema ukiwa na imani kama punje ya haradali basi waweza amisha milima, imani ya MAKONDA na MAGUFULI ndiyo YESU amezungumzia, nakwambieni maisha yanarudi kama zamani, piga keleleeeeeee
Unakufuru ujue, na Mungu siyo binamu yako.
 
Mtanzania ni mtu wa namna ya kipekee duniani. Kama masihara corona imechemka yenyewe. Siwezi kuamini kuwa maombi yamefanya kazi, wala Siwezi kuamini kuwa juhudi za wizara ya afya zimefanya kazi. Ni kinga ya asili ndio iliyofanya kazi. Juhudi tulizochukua huku Afrika na Tanzania juu ya COVID 19 ni kiduchu sana...
Umechelewa kaka. Propaganda na siasa tayari zimeshatake over


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aina ya viongozi wanaojinadi kumpenda Mungu na hawajui Mungu anataka nini kutoka kwao. Hivi kweli kama maradhi yameondoka ndo tunatakiwa kumshukuru Mungu kwa kufanya fujo, kupiga kelele na kunywa pombe? Shame!
 
MH Rais wangu mpenzi kwanza shikmooo, pili nisichelewe nakujulisha kuwa sifati maelekezo yako ila natii Amri ya Mh mkuu wa mkoa wangu Makonda.

Maelekezo yako ni kuwa tuwe na siku tatu za kushukuru baada ya zile tatu za kumuomba Mungu dhidi ya corona na kweli Mungu amejibu maombi yetu.

Mimi nafata ya Makonda ya kutaka tusherekeeee na si vinginevyo,maana wakati tumefunga tukiomba Mungu nilimuona mteule wako Dc wa Dodoma wakifanya ujinga na walevi sasa leo wewe ametangaza tufunge na kumshukuru MUNGU huyu ametangaza tule Bata mimi nimeamua kulingana na yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom