Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Punguza wenge mkuu

Maiti ziokotwe vip

Huu ugonjwa naona washauchukulia kawaida

Sio viongozi tu hadi wananchi

Wanaoishi waishi, watakaopita watapita

Lazima shughuli ziendelee
Kiukweli hali bado haijatengemaa kuweza kuwapa watu uhuru wa namna hiyo..
Utaona sasa maiti zitaanza kuokotwa Club.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwa katika ujenzi wa daraja la Tanzanite, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wakazi wake kufanya fujo za hali ya juu ikiwepo kupiga kelele kwa nguvu zote na watu kwenda beach kama ishara ya kumpongeza Rais kwa kuishinda COVID 19...
Tutaamini hayo atuambiayo tutakapomuona Jiwe amerejea Magogoni au Chamwino kuendelea kuchapa kazi...

Bila hivyo tutajua hiyo ni as usual blah blah zao
 
Duh, haya
Akiwa katika ujenzi wa daraja la Tanzanite, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wakazi wake kufanya fujo za hali ya juu ikiwepo kupiga kelele kwa nguvu zote na watu kwenda beach kama ishara ya kumpongeza Rais kwa kuishinda COVID 19.

Pia Makonda amewataka watu wote waliokimbià Corona Dar warudi haraka kwani kifo hakikimbiwi.

Chanzo: Global TV Online.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EYYTSAoWoAk2wcl.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom