Kwahiyo wanaolinda ni woga! Mlishasema ushindi ni asubuhi tarehe 25/10/2015, sasa hamjiamini tena?Kwasababu wanajua hata kama watalinda hawapati kitu.
Kwahiyo wanaolinda ni woga! Mlishasema ushindi ni asubuhi tarehe 25/10/2015, sasa hamjiamini tena?Kwasababu wanajua hata kama watalinda hawapati kitu.
Dhana ya ulinzi shirikishi inatakiwa kutumika kwenye kura pia. Kama kuna nia njema kwanini wanakataza wananchi kushirikiana na vyombo vya dola katika kulinda kura zao?
Kwahiyo wanaolinda ni woga! Mlishasema ushindi ni asubuhi tarehe 25/10/2015, sasa hamjiamini tena?
Anayo mamlaka,hivi mtoa post unatambua mamlaka ya mkuu wa wilaya au unaota ndoto za mchana,yeye ni mwaki
ishi wa rais katika wilaya yake na ndio mtunza amani na vyombo vya ulinzi na usalama viko chini yake kwa mamlaka aliyopewa
Jana akiwa kanisani mkuu wa wilaya ya Kinondoni kwa kujiamini sana kupita kiasi alitoa kauli ya vitisho kwa wananchi kuwa hataruhusu wananchi kwenye wilaya yake ya Kinondoni kubaki vituoni baada ya kupiga kura hata kama ni mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura.
Suala hili lipo mahakamani na bado halijatolewa ufafanuzi wa mahakama kuu. Sasa wakati tunasubiri maamuzi ya mahakama kuu inashangaza sana kuona mkuu wa wilaya anatoa kauli ya vitisho kama hiyo, hivi kwa mfano mahakama kuu ikiamua kuwa wananchi wana haki ya kusubiria matokeo atarudi tena makanisani kuwatangazia wananchi kuwa wana haki ya kubaki vituoni?, na jumapili iliyobaki ndiyo hiyo ya uchaguzi.
Utakapovunjwa mguu mbowe hatokuwepo m 200
Makonda ni mkuu wa wilaya na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.
Our great democracies still tend to think that,a stupid man i more likely to be honest than a clever man