SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
- Thread starter
- #21
Viroba hatari sana
Unaambiwa ulinde kura mita 200
wakat kura znaesabiwa ndan
Huo ni uharo wa geita
Hakuwa amelewa wakati anatoa vitisho hivyo alikuwa mzima kabisa.
Viroba hatari sana
Unaambiwa ulinde kura mita 200
wakat kura znaesabiwa ndan
Huo ni uharo wa geita
Utakapovunjwa mguu mbowe hatokuwepo m 200
Jana akiwa kanisani mkuu wa wilaya ya Kinondoni kwa kujiamini sana kupita kiasi alitoa kauli ya vitisho kwa wananchi kuwa hataruhusu wananchi kwenye wilaya yake ya Kinondoni kubaki vituoni baada ya kupiga kura hata kama ni mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura.
Suala hili lipo mahakamani na bado halijatolewa ufafanuzi wa mahakama kuu. Sasa wakati tunasubiri maamuzi ya mahakama kuu inashangaza sana kuona mkuu wa wilaya anatoa kauli ya vitisho kama hiyo, hivi kwa mfano mahakama kuu ikiamua kuwa wananchi wana haki ya kusubiria matokeo atarudi tena makanisani kuwatangazia wananchi kuwa wana haki ya kubaki vituoni?, na jumapili iliyobaki ndiyo hiyo ya uchaguzi.
yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako
yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako
Jana akiwa kanisani mkuu wa wilaya ya Kinondoni kwa kujiamini sana kupita kiasi alitoa kauli ya vitisho kwa wananchi kuwa hataruhusu wananchi kwenye wilaya yake ya Kinondoni kubaki vituoni baada ya kupiga kura hata kama ni mita mia mbili kutoka kwenye kituo cha kupigia kura.
Suala hili lipo mahakamani na bado halijatolewa ufafanuzi wa mahakama kuu. Sasa wakati tunasubiri maamuzi ya mahakama kuu inashangaza sana kuona mkuu wa wilaya anatoa kauli ya vitisho kama hiyo, hivi kwa mfano mahakama kuu ikiamua kuwa wananchi wana haki ya kusubiria matokeo atarudi tena makanisani kuwatangazia wananchi kuwa wana haki ya kubaki vituoni?, na jumapili iliyobaki ndiyo hiyo ya uchaguzi.
Huna hata haja ya kutafari kauli za kipuuzi ambazo hazijapimwa mkuu,hiv unadhani polisi au hasa ffu ni wengi kiasi gani kuweza kuthibiti asilimia kubwa ya wapiga kura walioamua kusubiri matokeo vituoni kwa siku moja au kwa wakati mmoja,okay fine hata wakiamua kutumia na wanajeshi bado hawataweza ni jambo linalotokea kwa wakati mmoja
So what..??Makonda ni mkuu wa wilaya na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.
Utakapovunjwa mguu mbowe hatokuwepo m 200
Wewe lofa tu! Unafikiri UKAWA mna wanachama zaidi ya milioni5? Wasio na vyama tuliojiandikisha tupo wengi zaidi ya milioni 10!Kwa akili yako fupi unadhani ccm itaiba kura za nani kama sio za UKAWA? Za TLP? au DOVUTWA? wakishaiba hizo zitafika ngapi kwa ujumla wake? hahaha
VIVA UKAWA!!!!
yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako
yeye ndio kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya au ulitaka atangaze baba yako
Dhana ya ulinzi shirikishi inatakiwa kutumika kwenye kura pia. Kama kuna nia njema kwanini wanakataza wananchi kushirikiana na vyombo vya dola katika kulinda kura zao?
Kwanini vyama vingine havitaki kulinda kura zao kama wanavyofanya UKAWA. Je, wao wameruhusu kura zao ziibiwe au zao haziibiwi?