Paul Makonda (RC), Naomba usikilize Kilio Changu juu ya Wanawake wa Dar es Salaam, Please

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Salamu za heri ya Xmas zikufikie.

Kupitia Mapumziko haya ya sikukuu naomba haya Mawili Kutoka Kwangu yakufikie na uyatafakari.

1. Swala la mavazi kwa Kina dada ,Aisee Mh. Labda utakua si rahisi ww kukutana na haya ila Ths is too much . Wanatutesa sisi kina kaka kisaikologia pia kutuharibia hata utaratibu wa Ibada kwa wakati mwengine

Mkuu wa Mkoa Nnachosema nasema kwa Majonzi na masikitiko makubwa .Vijana wako wa Dar es salaam WANATEMBEA UCHI.
Inafika Mahala hata Unaona Aibu ukiwa na mwanao au mzazi wako Jinsi Gani utapishana na hawa wanawake .
Leo nimekutana na mmoja Kavaa ndhani ni ni nguo iliyostahili kuvaliwa ndani ya vazi lingine,ni fupi na imembana mithili ya yale mavazi ya waogeleaji wa Olympic ..na ndani wala hajavaa kitu chochote hakika nilibaki nashika mdomo .

2. Hawa wanawake wanaokwenda "KUOA" Sijui kucheza ngoma ..wenyewe wanaita kwenda Kwenye "Shughuli", Mkuu wa mkoa hawa watu wanalidhalilisha Jiji letu. Mchana kweupe Wanatoa Makalio Nje ya madirisha ya dalala wako na Mavazi wanaita "Dira/Dela" ndani wakiwa Hawajavalia Kitu ,Huku wakipigiwa Ngoma na maturumbeta ...hawajali wanapita kwnye Nyumba za Ibada wala makazi ya watu wao ni Kukatika Vionu tu na kupepesa makalio,balaa zaidi uwakute Kwenye Foleni hapo ndio wengine wanashuka na kutikisa makalio barabarani kabisaaa .

Hakika Leo nimefedheheka sana, mbaya zaidi nilikua na mgeni wangu kutoka nchi za nje, hakuniuliza Wale wanafanya nn , lah hasha , Aliniuliza ni kwann wanafanya hivyo. ! Nilikosa la kumjibu.

Please Mkuu wa Mkoa Hizi ni salamu zangu kwako za mwisho wa mwaka.
Nnachfahamu Hakuna Jamii isiyo na maadali ,jaribu kuyaonya haya
Please please please .. Hatuwezi endelea kuishi kwnye Jamii yenye Maadali machafu namna hii , hata baraka nyingine huzuiwa kwa matendo haya.

Ahsante na nikutakie Heri ya mwaka Mpya 2017.
 
Wenzako wanaume wa Dar wanasema wanakula kwa macho na wanafurahia sana hali hiyo ndo maana wameshindwa kuwakanya dada na mama zao wanaotembea nusu uchi.
 
Salamu za heri ya Xmas zikufikie.

Kupitia Mapumziko haya ya sikukuu naomba haya Mawili Kutoka Kwangu yakufikie na uyatafakari.

1. Swala la mavazi kwa Kina dada ,Aisee Mh. Labda utakua si rahisi ww kukutana na haya ila Ths is too much . Wanatutesa sisi kina kaka kisaikologia pia kutuharibia hata utaratibu wa Ibada kwa wakati mwengine

Mkuu wa Mkoa Nnachosema nasema kwa Majonzi na masikitiko makubwa .Vijana wako wa Dar es salaam WANATEMBEA UCHI.
Inafika Mahala hata Unaona Aibu ukiwa na mwanao au mzazi wako Jinsi Gani utapishana na hawa wanawake .
Leo nimekutana na mmoja Kavaa ndhani ni ni nguo iliyostahili kuvaliwa ndani ya vazi lingine,ni fupi na imembana mithili ya yale mavazi ya waogeleaji wa Olympic ..na ndani wala hajavaa kitu chochote hakika nilibaki nashika mdomo .

2. Hawa wanawake wanaokwenda "KUOA" Sijui kucheza ngoma ..wenyewe wanaita kwenda Kwenye "Shughuli", Mkuu wa mkoa hawa watu wanalidhalilisha Jiji letu. Mchana kweupe Wanatoa Makalio Nje ya madirisha ya dalala wako na Mavazi wanaita "Dira/Dela" ndani wakiwa Hawajavalia Kitu ,Huku wakipigiwa Ngoma na maturumbeta ...hawajali wanapita kwnye Nyumba za Ibada wala makazi ya watu wao ni Kukatika Vionu tu na kupepesa makalio,balaa zaidi uwakute Kwenye Foleni hapo ndio wengine wanashuka na kutikisa makalio barabarani kabisaaa .

Hakika Leo nimefedheheka sana, mbaya zaidi nilikua na mgeni wangu kutoka nchi za nje, hakuniuliza Wale wanafanya nn , lah hasha , Aliniuliza ni kwann wanafanya hivyo. ! Nilikosa la kumjibu.

Please Mkuu wa Mkoa Hizi ni salamu zangu kwako za mwisho wa mwaka.
Nnachfahamu Hakuna Jamii isiyo na maadali ,jaribu kuyaonya haya
Please please please .. Hatuwezi endelea kuishi kwnye Jamii yenye Maadali machafu namna hii , hata baraka nyingine huzuiwa kwa matendo haya.

Ahsante na nikutakie Heri ya mwaka Mpya 2017.
Alafu hao wanaotikisa makalio, unaweza fikiri niwajuzi pia hata kitandandandandani, kumbe ni mzigo hasa kazi ni kutikisa tukwenye sherehe zisizo zao. Ndio maaana wengi wao hawajaolewa.
 
Salamu za heri ya Xmas zikufikie.

Kupitia Mapumziko haya ya sikukuu naomba haya Mawili Kutoka Kwangu yakufikie na uyatafakari.

1. Swala la mavazi kwa Kina dada ,Aisee Mh. Labda utakua si rahisi ww kukutana na haya ila Ths is too much . Wanatutesa sisi kina kaka kisaikologia pia kutuharibia hata utaratibu wa Ibada kwa wakati mwengine

Mkuu wa Mkoa Nnachosema nasema kwa Majonzi na masikitiko makubwa .Vijana wako wa Dar es salaam WANATEMBEA UCHI.
Inafika Mahala hata Unaona Aibu ukiwa na mwanao au mzazi wako Jinsi Gani utapishana na hawa wanawake .
Leo nimekutana na mmoja Kavaa ndhani ni ni nguo iliyostahili kuvaliwa ndani ya vazi lingine,ni fupi na imembana mithili ya yale mavazi ya waogeleaji wa Olympic ..na ndani wala hajavaa kitu chochote hakika nilibaki nashika mdomo .

2. Hawa wanawake wanaokwenda "KUOA" Sijui kucheza ngoma ..wenyewe wanaita kwenda Kwenye "Shughuli", Mkuu wa mkoa hawa watu wanalidhalilisha Jiji letu. Mchana kweupe Wanatoa Makalio Nje ya madirisha ya dalala wako na Mavazi wanaita "Dira/Dela" ndani wakiwa Hawajavalia Kitu ,Huku wakipigiwa Ngoma na maturumbeta ...hawajali wanapita kwnye Nyumba za Ibada wala makazi ya watu wao ni Kukatika Vionu tu na kupepesa makalio,balaa zaidi uwakute Kwenye Foleni hapo ndio wengine wanashuka na kutikisa makalio barabarani kabisaaa .

Hakika Leo nimefedheheka sana, mbaya zaidi nilikua na mgeni wangu kutoka nchi za nje, hakuniuliza Wale wanafanya nn , lah hasha , Aliniuliza ni kwann wanafanya hivyo. ! Nilikosa la kumjibu.

Please Mkuu wa Mkoa Hizi ni salamu zangu kwako za mwisho wa mwaka.
Nnachfahamu Hakuna Jamii isiyo na maadali ,jaribu kuyaonya haya
Please please please .. Hatuwezi endelea kuishi kwnye Jamii yenye Maadali machafu namna hii , hata baraka nyingine huzuiwa kwa matendo haya.

Ahsante na nikutakie Heri ya mwaka Mpya 2017.
ilo swali ungemwuliza mwanaume wa mkoani?
 
Njoo tuishi arusha, kuna akina mamayeyo wanavaa rubega na mshuka tu.
hahaha, umenikumbusha nilitembelea mkoa mmoja mwezi uliopita, huko kusini, nikamkuta mmama wa masai makamo kama 40s hivi anatembeza dawa za kienyeji, mikanda ya ngozi na wallet, aisee alibananishwa na jamaa mmoja bar hadi akaingia naye chumba cha ndani. ile bar ina guest kwa nyuma na wanajifanya wanauza vitu kwa wanywaji, kumbe masai nao wanajiuza aisee. hao masai unaowaona hao wanajiuza. jamaangu huyo alijifanya kumnunulia bia, ile kuanza kunywa hata hajalewa karusha ndoano kujaribisha akatiki.akaenda kula mzigo. masai mwenyewe mchafumchafu ile sura ni nzuri, mrefu mwembamba makalio na manyamanyama tumboni kama mhindi. jamaa karudi ananiambia hana harage ila kala hivyohivyo.
 
Ila mleta Uzi nkajua unamwambia Makonda jambo la msingi kumbe ni upuuzi huu..

Yaani RC ndo aanze kuwapangia watu mavazi? Keshokutwa akitamka kuhusu mavazi mnaanza kelele sijui anaingilia Uhuru wa watu.

Mimi sioni Kosa ktk mavazi kwani kila mtu yupo huru ,chamsingi wewe acha tamaa zako labda na ulimbukeni wa jiji mkuu.

Kingine muombe sana Mungu wanao wasiangukie ktk kundi hilo.
 
Salamu za heri ya Xmas zikufikie.

Kupitia Mapumziko haya ya sikukuu naomba haya Mawili Kutoka Kwangu yakufikie na uyatafakari.

1. Swala la mavazi kwa Kina dada ,Aisee Mh. Labda utakua si rahisi ww kukutana na haya ila Ths is too much . Wanatutesa sisi kina kaka kisaikologia pia kutuharibia hata utaratibu wa Ibada kwa wakati mwengine

Mkuu wa Mkoa Nnachosema nasema kwa Majonzi na masikitiko makubwa .Vijana wako wa Dar es salaam WANATEMBEA UCHI.
Inafika Mahala hata Unaona Aibu ukiwa na mwanao au mzazi wako Jinsi Gani utapishana na hawa wanawake .
Leo nimekutana na mmoja Kavaa ndhani ni ni nguo iliyostahili kuvaliwa ndani ya vazi lingine,ni fupi na imembana mithili ya yale mavazi ya waogeleaji wa Olympic ..na ndani wala hajavaa kitu chochote hakika nilibaki nashika mdomo .

2. Hawa wanawake wanaokwenda "KUOA" Sijui kucheza ngoma ..wenyewe wanaita kwenda Kwenye "Shughuli", Mkuu wa mkoa hawa watu wanalidhalilisha Jiji letu. Mchana kweupe Wanatoa Makalio Nje ya madirisha ya dalala wako na Mavazi wanaita "Dira/Dela" ndani wakiwa Hawajavalia Kitu ,Huku wakipigiwa Ngoma na maturumbeta ...hawajali wanapita kwnye Nyumba za Ibada wala makazi ya watu wao ni Kukatika Vionu tu na kupepesa makalio,balaa zaidi uwakute Kwenye Foleni hapo ndio wengine wanashuka na kutikisa makalio barabarani kabisaaa .

Hakika Leo nimefedheheka sana, mbaya zaidi nilikua na mgeni wangu kutoka nchi za nje, hakuniuliza Wale wanafanya nn , lah hasha , Aliniuliza ni kwann wanafanya hivyo. ! Nilikosa la kumjibu.

Please Mkuu wa Mkoa Hizi ni salamu zangu kwako za mwisho wa mwaka.
Nnachfahamu Hakuna Jamii isiyo na maadali ,jaribu kuyaonya haya
Please please please .. Hatuwezi endelea kuishi kwnye Jamii yenye Maadali machafu namna hii , hata baraka nyingine huzuiwa kwa matendo haya.

Ahsante na nikutakie Heri ya mwaka Mpya 2017.

Hao ndio wapiga kura. Lete lingine!
 
Atatue kero za uchafu, maji, biashara holela, usalama wa raia


karne hii kwenye ulimwengu huu udhibiti watu kwenye uvaaji?

Kama unatatizwa na mavazi nenda Zanzibar
Uache kuvaa uchi dada yangu .. hata hayo.unayotasema bila kua na adabu na decipline hatoyafaidia
 
Ila mleta Uzi nkajua unamwambia Makonda jambo la msingi kumbe ni upuuzi huu..

Yaani RC ndo aanze kuwapangia watu mavazi? Keshokutwa akitamka kuhusu mavazi mnaanza kelele sijui anaingilia Uhuru wa watu.

Mimi sioni Kosa ktk mavazi kwani kila mtu yupo huru ,chamsingi wewe acha tamaa zako labda na ulimbukeni wa jiji mkuu.

Kingine muombe sana Mungu wanao wasiangukie ktk kundi hilo.
Majibu yako yanaonyesha huna na hutarajii kupata familia ..
hahaha, umenikumbusha nilitembelea mkoa mmoja mwezi uliopita, huko kusini, nikamkuta mmama wa masai makamo kama 40s hivi anatembeza dawa za kienyeji, mikanda ya ngozi na wallet, aisee alibananishwa na jamaa mmoja bar hadi akaingia naye chumba cha ndani. ile bar ina guest kwa nyuma na wanajifanya wanauza vitu kwa wanywaji, kumbe masai nao wanajiuza aisee. hao masai unaowaona hao wanajiuza. jamaangu huyo alijifanya kumnunulia bia, ile kuanza kunywa hata hajalewa karusha ndoano kujaribisha akatiki.akaenda kula mzigo. masai mwenyewe mchafumchafu ile sura ni nzuri, mrefu mwembamba makalio na manyamanyama tumboni kama mhindi. jamaa karudi ananiambia hana harage ila kala hivyohivyo.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom