kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,508
Majohe iko Ilala Gongo la Mboto DSM.
Kuna mkandarasi aliyepewa kutengeneza barabara ya Kampala - Majohe ambaye Sina uhakika Kama unapata taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo. Huyu mkandarasi anawachonganisha wanachi na serikali yao huna budi kuja kumsikiliza shida yake.
Kusema ukweli anakutia aibu na serikali pia. nikisema sana yatakuwa majungu bora ufike mwenye ujiridhishe.
Hii ni ile barabara ya Kampala - jeshini- kanisani - mji mpya - Bwela hadi Rada.
Kuna mkandarasi aliyepewa kutengeneza barabara ya Kampala - Majohe ambaye Sina uhakika Kama unapata taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo. Huyu mkandarasi anawachonganisha wanachi na serikali yao huna budi kuja kumsikiliza shida yake.
Kusema ukweli anakutia aibu na serikali pia. nikisema sana yatakuwa majungu bora ufike mwenye ujiridhishe.
Hii ni ile barabara ya Kampala - jeshini- kanisani - mji mpya - Bwela hadi Rada.