mtoto1980
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 534
- 517
Mh Makonda nimesikia maelezo yako kupitia clouds fm.Swala lako kuhusu Umoja uliouanzisha wa waendesha boda boda na jinsi mlivyojipanga kuanzisha kiwanda cha boda sembe.
Kupitia michango ya wanachama 50,000@tsh 5,000=250,000,000 kwa mwezi.Kwa pesa hiyo naamini wanachama wanaweza kuanzisha viwanda na kusaidia ukuwaji wa uchumi.
Tanzania ya viwanda inawezekana.
Kupitia michango ya wanachama 50,000@tsh 5,000=250,000,000 kwa mwezi.Kwa pesa hiyo naamini wanachama wanaweza kuanzisha viwanda na kusaidia ukuwaji wa uchumi.
Tanzania ya viwanda inawezekana.