Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
We ni mgeni hapa mjini?Mtukufu nani?
We ni mgeni hapa mjini?Mtukufu nani?
Ameshazila mhusikaZiko wapi
Anasimama anasema meya atafute shuhuli nyingine hizi kazi za jiji ni zake yeye, na anamsisitiza eti meya aingie ofisini Mara 2 tu kwa week eti kwa kuwa hana kazi.Kinachomchanganya anashindwa kupiga dili kwa kuwa manispaa ziko chini ya ukawa. Ndo maana kila siku anahangaika na matamko kwenye media.