idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Leo ndio siku rasmi ndege yetu imezindua safari ya Tanzania-Zimbabwe-Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.