britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Lakin Dr alikuwa chaguo laki sahihiiKamchukue Dr. Slaa mnywe naye chai.
Lakin Dr alikuwa chaguo laki sahihiiKamchukue Dr. Slaa mnywe naye chai.
Aaah kumbe! KUlikuwa na story eti asingeenda kwa kuwa trip ilipangiwa pilot mwanamke!Hakwenda aliairisha.!
Kwahiyo ndo akili ikapungua? Maana.umesema kwamba Ccm wenye akili wamepunguaKutokana na sentensi yako "mambo yetu mengi siku hizi yanafanyika kiswahili Swahili."
Lakin Dr alikuwa chaguo laki sahihii
Leo ndio siku rasmi ndege yetu imezindua safari ya Tanzania-Zimbabwe-Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.View attachment 1029194
Hapo nimekupata, nilidhani uta mu ignore, ili hoja ziendelee lakin akakutoa kwenye mstariNimempa jibu stahiki huyo niliyemquote, hii mada sio ya Dr.Slaa.
Kwamba tunafanya mambo ya ki kisarawe kisarawe, ki matumbi matumbi, tangu lini ndege ikasindikizwa duhUswahili swahili unaashiria nini.?
Makonda baba nataka niisindikize ndegeWakuu wa Mikoa kusindikiza Ndege ni rekodi ya dunia , aliyeleta wazo atunukiwe nishani
Yaani hapo, amekosekana Mnyeti!Wivu wa kupongeza wakuu wa mikoa kusindikiza ndege Zambia na Zimbabwe, siku ikianza safari ya Marekani itabidi Makamu wa Rais na Waziri mkuu wahusike.!
Hapo nimekupata, nilidhani uta mu ignore, ili hoja ziendelee lakin akakutoa kwenye mstari
Mkuu redeemer unajua hapo matukio hayo ni mawili, kuna tukio la kuipokea na kuzunguka nayo , sasa wetu wanazunguka nayoHii ilikua ni first Ethiopia Eritrea commercial flight ambayo ilikua kama public holiday, marais wote wapo hapo tatizo watanzania wengi ni ushamba na lack of exposure mbaya kabisa kila mtu ni expert kwenye kila kitu View attachment 1029275
Hao wamepewa ofa na serikali tuNi shilingi ngapi? Nauli.
Sawa sawa.Hao wamepewa ofa na serikali tu
Kwakweli hapo inategemea na ndege uliyotumia , lakin kwa yetu hawajaweka wazi nadhani,Sawa sawa.
Ila nauliza nauli ya Airtz ni shilingi ngapi kwenda sehemu zilizotajwa?