uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Nimeimisi sana chadema ya dr.slaa hii chadema iliyopo sasa,makonda asipompa mimba mke wake wanalalamika akimpaa bado wanalalamika yani shida tupu.
Mie nikajua baada ya kuanza safari za nje shirika limebadilishwa jina ili kuandana na kasi ya ..... sorry printer yangu imeisha wino
Leo ndio siku rasmi ndege yetu imezindua safari ya Tanzania-Zimbabwe-Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.View attachment 1029194
Nadhani watu wenye uelewa wanazidi kupungua huko ccm, ama wanajitoa akili kwenda sambamba na mdundo wa ngoma.Safi kwa hatua hii, lakin mambo yetu mengi mbona yanafanyika kiswahili sana, kwani lazima zisindikizwe? Nani kawachagua kusindikiza?
Au labda nao walikuwa na route huko
Wivu wa kupongeza wakuu wa mikoa kusindikiza ndege Zambia na Zimbabwe, siku ikianza safari ya Marekani itabidi Makamu wa Rais na Waziri mkuu wahusike.!
Sasa ushamba upo wapi hapo? KQ ya Kenya ilipoanza safari za Newyork, uhuru alipanga kuambatana na ndege mpaka Newyork ila alibadili mpango time za mwisho japo aliwakilishwa na viongozi waandamizi wa serikali ya Kenya, vivyo hivyo kwa Ethiopia Ilipoanza rasmi kwenda Djibouti, kiongozi wa juu kabisa aliambatana na ndege mpaka DjiboutiIle kauli ya serikali ya kishamba naona iko wazi sasa.
Leo ndio siku rasmi ndege yetu imezindua safari ya Tanzania-Zimbabwe-Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.
Lumumba ni watu wa KUKURUPUKA siku Zote.TTCL ndio wanamiliki ndege.?