Kama kuna mwana usalama aliingia kichwani kwake kumwambia Mzee amemaua aache uRc akagombee ccm amemuweza sanaDu ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
Wewe umtakii mema mwambaAkimaliza kukabidhi ofisi, atafute kazi nyingine ya kufanya Dar haraka sana au arudi kwao Koromije, maana jiji la Dar hatutaki wazururaji wasiokuwa na kazi maalum.
Ile ofisi ni nzuri bwana, kiti na meza ya boss na meza ya mikutano pembeni. Ukutani Kuna urembo wa vipande vya magogo . Acha apple machines.Dah..zile apple na furniture zote anakabidhi au ataondoka nazo kama yule mke wa jaji Zenji ni kuiharibu haribu tu!
Marehemu SITA ALIJENGA OFISI YA SPIKA URAMBO Haaaaaa hawa jamaa wakiwaga Kyle hawataki kushauriwa kabisa Waja nijilimie MITIKIDu ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
Kama kuna mwana usalama aliingia kichwani kwake kumwambia Mzee amemaua aache uRc akagombee ccm amemuweza sana
Ile ofisi ni nzuri bwana, kiti na meza ya boss na meza ya mikutano pembeni. Ukutani Kuna urembo wa vipande vya magoti. Acha apple screens.
Bashite anaweza kung’oa zile Apple machines akidai ni zake binafsi. He might have thought atakaa hapo mileleDu ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
Makonda alistaafu lini ukuu wa mkoa?Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa Dsm Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Ni funzo tosha kwenye maishaAliambiwa akisimama jimbo lolote Tz anachukua asubuhi tu na mapema. Kumbe tu hata ndani ya chama chake hana ushawishi. Ndio seuse avumilie mikiki ya jukwaani na kampeni za bongo hizi maji taka! He is a lose canon! Itakuwa disaster....
Du ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
All in all it was refurbished for himMkuu:
Kwani alitengeneza kwa fedha zake.
Nadhani uelewa ndio tatizo.This is too much exaggeration. Kuhudhuriwa na kila Mtumishi? Ina maana ofisi zoote kufungwa kuanzia bandari, Tanesco, wizara zoote, nk na woote watahudhuria mkutano!!? Hata mkutano wa rais haujawahi kuwa hivyo. Watumishi wanaohudhuria mikutano hawawezi kufika hata nusu.
Wengine lazima wabaki ili mambo yaende. Punguza ushabiki dada usio na maana. Usemacho ni kinyume na logic
Huyo Hela anayo mkuuAkimaliza kukabidhi ofisi, atafute kazi nyingine ya kufanya Dar haraka sana au arudi kwao Koromije, maana jiji la Dar hatutaki wazururaji wasiokuwa na kazi maalum.
Proudly sponsored by GSM.Mkuu:
Kwani alitengeneza kwa fedha zake.