johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!