Nili-pumba-vuUsichukue sasa.
Nili-pumba-vuUsichukue sasa.
Kwanini unatukumbusha mbali lakini!?
Ameshanaswa?Du kama ana mkwanja wa kutosha atimkie Russia au China,yawezekana kuna watu wazito wanataka kumshikisha adabu.
Leo anamalizia kuaga ndugu jamaa na marafikiSio ndio kesho au nasema uongo nduguzanguni?!
Ngoja tuone kesho 😂😂😂Leo anamalizia kuaga ndugu jamaa na marafiki
Wapi huko USA walishindwa kutoa ushahidi?Kwa kushitakiwa na kubenea?
Ingekua jamhuri, hapo mtu unaweza kuwaza!
Vipi clouds wakigoma kutoa ushirikiano! mutawalazimisha?
Maana huo ndio ushahidi pekee kila mjinga anashabikia!
Kuhusu mauaji hata USA wameshindwa kutoa ushahidi!
Anaenda kunyea debe kama sabaya.Ahahahahahaha! Watu walioshindwa maisha mnapenda ligi ya kuwaombea mabaya waliofanikiwa! Ahahahahahaba!!
Naibu Raisi mstaafu Makonda alikuwa moto sana, nakumbuka siku hii maafande na manyota yao waliimba nyimbo na walipiga sana kwata
Mwisho wakasema Abebwe , halafu akabebwa juu juu , hii ndio ile siku aliyoshiriki wizi wa kura Jimbo la UkongaNaibu Raisi mstaafu Makonda alikuwa moto sana, nakumbuka siku hii maafande na manyota yao waliimba nyimbo na walipiga sana kwata
Ila hili suala huenda kubenea anatuongopea sana, hii Ni Mara ya 3 inafika tarehe alafu hakuna kinachoendelea.Mwisho wakasema Abebwe , halafu akabebwa juu juu , hii ndio ile siku aliyoshiriki wizi wa kura Jimbo la Ukonga
myambe kifukuto asee Makonda alitikisa na mie nikipata tu Urais lazima dogo nimuite aje tufanye kazi!