Paul Makonda, Kigamboni na Kazi yake ya Ukuu wa Mkoa, Nini kitafuata au ndio amekuwa raia wa kawaida

Haya ni mawazo yangu binafsi na kile ninacho hisi naomba nielekezwe au kukosolewa kwa hili,

Kwanza, Swali ni Kwanini umati mkubwa sana wa watanzania nchi nzima walikuwa na shahuku ya kutaka kujua matokeo ya Kigamboni, majimbo mengine badae Kwa nini, Kwanini tena Kwanini.

Pili, Alikuwa Mkuu wa Mkoa na alikuwa na Walinzi, je asipo teuliwa kuwa viti maalum au kupewa kazi nyingine serikalini ikiwemo pamoja na ukuu wa mkoa ataishi maisha ya aina gani maana alikuwa juu sana alipokuwa mkuu wa Mkoa na alikuwa ni mwenye command nyingi sana, Je maisha ya Uraiani bila body guard na bastola ataweza?

Nakumbuka Kigamboni walipata msaada wa Madawa na vifaa tiba kwa ajili ya hospitali ya Kigamboni baada ya kuona Faustin aliyewahi kuwa Naibu Waziri hakufanikisha hili, Je Makonda kuleta msaada huo ulikuwa ni sehem ya Kampeni na Kujitambulisha kwa wana Kigamboni?

Alipoacha ukuu wa Mkoa aliamini kuwa anakokwenda kugombea atashinda kwa kishindo kupitia yale aliyo wapelekea wana Kigamboni, je Faustin mgombea wa Ubunge kwenye kura za Maoni hakujipima kabla ya mchakato na nn kilikuwa kwenye mawazo yake kabla ya kura kuhesabiwa, bila shaka kwa aliyemuona Faustin alikuwa kama ana wasiwasi vile na alikuwa na utayari wa kukubali kushindwa.

Ninavyoona na kupitia hisia zangu, Makonda atateuliwa kuwa viti maalum au Faustine atatenguliwa na atateuliwa Makonda kuwa Mbunge wa Kigamboni, Moja kati ya hizi litafanyika, yote haya ni kutimiza kile kilicho pangwa kiwe, kumbukeni kila mwanadamu ana uzuri na mapungufu yake, kile tusicho tegemea ndicho tutakacho kiona kikifanyika na kwa sasa, kuna hali flani ambayo imeanza kuonekana baada ya Makonda kuachia ukuu wa mkoa.

Swali ni Kwanini umati mkubwa sana wa watanzania nchi nzima walikuwa na shahuku ya kutaka kujua matokeo ya Kigamboni, Kwa nini, Kwanini tena Kwanini.

Hawa wafuatao watateuliwa baada ya kukataliwa na wenye chama.ila Baba mtakatifu atawanyakua.special sit
Silinde tena huyu ni waziri
Makonda
Aliyewahi kuwa katibu cdm
K
 
0f1ef7a2e96a494c963c59d438bcabe2.jpg
 
Kilichomponza Makonda ni kwamba hajawahi kua na siasa za kuzunguka na wanaccm wenzie mfano kuhamasisha au kuzurura na kundi la wenzake. Yeye ni amekua DC kisha RC hivyo kuna michezo hawezi kua anaijua na hata aliotaka kuwaongoza hawamjui km wanavyomjua Ndugulile.

Nafikiri hili ndiyo kuu, kwa maoni yangu.
Ndugulile ndio nani??
 
Paul Makonda, Kigamboni na Kazi yake ya Ukuu wa Mkoa, Nini kitafuata au ndio amekuwa raia wa kawaida
Wala hamna taabu, Bashite atarudi kwenye shughuli zake za awali zinazolingana na sifa pamoja na elimu yake. Hivyo vyeo alivyobebeshwa vinamzidi kimo na ndio maana akatumbukia katika kuwateka, kuwatesa na kuwapoteza wananchi wazalendo wenye sifa na elimu kuliko yeye.

makonda.jpg

Kazi kama hii inaendana kabisa na sifa na uwezo wake kielimu na ataendelea kupata ajira yake kama hapo zamani kabla hajabebwa!​
 
Haya ni mawazo yangu binafsi na kile ninacho hisi naomba nielekezwe au kukosolewa kwa hili,

Kwanza, Swali ni Kwanini umati mkubwa sana wa watanzania nchi nzima walikuwa na shahuku ya kutaka kujua matokeo ya Kigamboni, majimbo mengine badae Kwa nini, Kwanini tena Kwanini.

Pili, Alikuwa Mkuu wa Mkoa na alikuwa na Walinzi, je asipo teuliwa kuwa viti maalum au kupewa kazi nyingine serikalini ikiwemo pamoja na ukuu wa mkoa ataishi maisha ya aina gani maana alikuwa juu sana alipokuwa mkuu wa Mkoa na alikuwa ni mwenye command nyingi sana, Je maisha ya Uraiani bila body guard na bastola ataweza?

Nakumbuka Kigamboni walipata msaada wa Madawa na vifaa tiba kwa ajili ya hospitali ya Kigamboni baada ya kuona Faustin aliyewahi kuwa Naibu Waziri hakufanikisha hili, Je Makonda kuleta msaada huo ulikuwa ni sehem ya Kampeni na Kujitambulisha kwa wana Kigamboni?

Alipoacha ukuu wa Mkoa aliamini kuwa anakokwenda kugombea atashinda kwa kishindo kupitia yale aliyo wapelekea wana Kigamboni, je Faustin mgombea wa Ubunge kwenye kura za Maoni hakujipima kabla ya mchakato na nn kilikuwa kwenye mawazo yake kabla ya kura kuhesabiwa, bila shaka kwa aliyemuona Faustin alikuwa kama ana wasiwasi vile na alikuwa na utayari wa kukubali kushindwa.

Ninavyoona na kupitia hisia zangu, Makonda atateuliwa kuwa viti maalum au Faustine atatenguliwa na atateuliwa Makonda kuwa Mbunge wa Kigamboni, Moja kati ya hizi litafanyika, yote haya ni kutimiza kile kilicho pangwa kiwe, kumbukeni kila mwanadamu ana uzuri na mapungufu yake, kile tusicho tegemea ndicho tutakacho kiona kikifanyika na kwa sasa, kuna hali flani ambayo imeanza kuonekana baada ya Makonda kuachia ukuu wa mkoa.

Swali ni Kwanini umati mkubwa sana wa watanzania nchi nzima walikuwa na shahuku ya kutaka kujua matokeo ya Kigamboni, Kwa nini, Kwanini tena Kwanini.
Zipo Nafasi tatu zilizoandaliwa kwa ajili ya Daudi Bashite kwanza ukuu wa mkoa Dodoma kuwa Balozi Somalia au kuteuliwa ubunge viti maalum kisha kupewa uwaziri tena wizara nyeti
 
Haya ni mawazo yangu binafsi na kile ninacho hisi naomba nielekezwe au kukosolewa kwa hili,

Kwanza, Swali ni Kwanini umati mkubwa sana wa watanzania nchi nzima walikuwa na shahuku ya kutaka kujua matokeo ya Kigamboni, majimbo mengine badae Kwa nini, Kwanini tena Kwanini.

Pili, Alikuwa Mkuu wa Mkoa na alikuwa na Walinzi, je asipo teuliwa kuwa viti maalum au kupewa kazi nyingine serikalini ikiwemo pamoja na ukuu wa mkoa ataishi maisha ya aina gani maana alikuwa juu sana alipokuwa mkuu wa Mkoa na alikuwa ni mwenye command nyingi sana, Je maisha ya Uraiani bila body guard na bastola ataweza?

Nakumbuka Kigamboni walipata msaada wa Madawa na vifaa tiba kwa ajili ya hospitali ya Kigamboni baada ya kuona Faustin aliyewahi kuwa Naibu Waziri hakufanikisha hili, Je Makonda kuleta msaada huo ulikuwa ni sehem ya Kampeni na Kujitambulisha kwa wana Kigamboni?

Alipoacha ukuu wa Mkoa aliamini kuwa anakokwenda kugombea atashinda kwa kishindo kupitia yale aliyo wapelekea wana Kigamboni, je Faustin mgombea wa Ubunge kwenye kura za Maoni hakujipima kabla ya mchakato na nn kilikuwa kwenye mawazo yake kabla ya kura kuhesabiwa, bila shaka kwa aliyemuona Faustin alikuwa kama ana wasiwasi vile na alikuwa na utayari wa kukubali kushindwa.

Ninavyoona na kupitia hisia zangu, Makonda atateuliwa kuwa viti maalum au Faustine atatenguliwa na atateuliwa Makonda kuwa Mbunge wa Kigamboni, Moja kati ya hizi litafanyika, yote haya ni kutimiza kile kilicho pangwa kiwe, kumbukeni kila mwanadamu ana uzuri na mapungufu yake, kile tusicho tegemea ndicho tutakacho kiona kikifanyika na kwa sasa, kuna hali flani ambayo imeanza kuonekana baada ya Makonda kuachia ukuu wa mkoa.

Swali ni Kwanini umati mkubwa sana wa watanzania nchi nzima walikuwa na shahuku ya kutaka kujua matokeo ya Kigamboni, Kwa nini, Kwanini tena Kwanini.
Kwani ndo Makonda kaishia hapo hana litakaposogezwa jina lake? Kwani Halmashauri kuu na Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa vitakutana kuchagua watu gani? Na Yale majina matatu yanayopelekwa huko kutoka kila jimbo atakosaje kuwemo wakati yeye ameshika nafasi ya pili?
 
Back
Top Bottom