Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,618
- 5,650
Maisha ni kama hadithi
Bora asiyepeleka dawa jimboni kwake mara milioni moja kuliko Bashite. Bora achaguliwe hata nyoka awe mbunge kuliko Bashite Makonda."Kingine, unakuta mtu ni Naibu Waziri wa Afya halafu jimboni kwako hupeleki madawa. Ndio maana nikaona bora nimpumzishe."
Hii ni kauli iliyotoka wakati Ndugulile ametumbuliwa na Molel anaapishwa. Mnategemea nini? View attachment 1512693
Bora asiyepeleka dawa jimboni kwake mara milioni moja kuliko Bashite. Bora achaguliwe hata nyoka awe mbunge kuliko Bashite Makonda.
Sio kumvimbia tu bali hata aliowasaidia watamuonesha rangi zao halisiWabongo tulivo na viburi usishangae hadi raia wa kawaida wakaanza kumvimbia makonda