Paul Makonda, Kamanda Sirro, Mwakyembe na Mrisho Gambo, kesho mtakuwa wageni wa nani?

Mwingereza

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
1,110
2,736
Hawa Jamaa watatu wamejitoa fahamu na sasa wanapambana na wananchi. Wamejiona wao ndio wao katika nafasi zao. Wanafanya kila kitu kinyume na maadili ya ubinadamu na taaluma zao.

Wanalaumiwa kwa kila baya. Hawa viongozi wanajisahau kwamba kabla ya kupata hizo nafasi, zilishikiliwa na watu wengine ambao leo tuneo uraiani. Mrisho Gambo na Makonda bado vijana, lakini kwa macho ya wengi, wamejipaka vinyesi kutokana na matendo yao ya uonevu mbele ya Umma

Mwakyembe anatamka vitu vya ajabu ambavyo vinadhalilisha usomi wake. Kamanda Siro naye badala ya kusimamia haki, anasimamia ushabiki, siasa na ukereketwa wa Chama tawala. Kamanda Siro, kabla yako alikuwepo Suleiman Kova, leo yuku mtaani. Kitendo cha kutetea polisi aliyefanya ujinga mbele ya umma dhidi ya Adam malim ni mbegu za chuki ambazo utakuja kuzivuna. Nachojiuliza je mtavuna nini kwenye hizi mbegu mnazozipanda?
 
Hawa Jamaa watatu wamejitoa fahamu na sasa wanapambana na wananchi. Wamejiona wao ndio wao katika nafasi zao. Wanafanya kila kitu kinyume na maadili ya ubinadamu na taaluma zao.

Wanalaumiwa kwa kila baya. Hawa viongozi wanajisahau kwamba kabla ya kupata hizo nafasi, zilishikiliwa na watu wengine ambao leo tuneo uraiani. Mrisho Gambo na Makonda bado vijana, lakini kwa macho ya wengi, wamejipaka vinyesi kutokana na matendo yao ya uonevu mbele ya Umma

Mwakyembe anatamka vitu vya ajabu ambavyo vinadhalilisha usomi wake. Kamanda Siro naye badala ya kusimamia haki, anasimamia ushabiki, siasa na ukereketwa wa Chama tawala. Kamanda Siro, kabla yako alikuwepo Suleiman Kova, leo yuku mtaani. Kitendo cha kutetea polisi aliyefanya ujinga mbele ya umma dhidi ya Adam malim ni mbegu za chuki ambazo utakuja kuzivuna. Nachojiuliza je mtavuna nini kwenye hizi mbegu mnazozipanda?
Hapa umesema,na salami zitawafikia.
 
Hawa Jamaa watatu wamejitoa fahamu na sasa wanapambana na wananchi. Wamejiona wao ndio wao katika nafasi zao. Wanafanya kila kitu kinyume na maadili ya ubinadamu na taaluma zao.

Wanalaumiwa kwa kila baya. Hawa viongozi wanajisahau kwamba kabla ya kupata hizo nafasi, zilishikiliwa na watu wengine ambao leo tuneo uraiani. Mrisho Gambo na Makonda bado vijana, lakini kwa macho ya wengi, wamejipaka vinyesi kutokana na matendo yao ya uonevu mbele ya Umma

Mwakyembe anatamka vitu vya ajabu ambavyo vinadhalilisha usomi wake. Kamanda Siro naye badala ya kusimamia haki, anasimamia ushabiki, siasa na ukereketwa wa Chama tawala. Kamanda Siro, kabla yako alikuwepo Suleiman Kova, leo yuku mtaani. Kitendo cha kutetea polisi aliyefanya ujinga mbele ya umma dhidi ya Adam malim ni mbegu za chuki ambazo utakuja kuzivuna. Nachojiuliza je mtavuna nini kwenye hizi mbegu mnazozipanda?
Ukatili walio nao hawa, ngoja tujenge ushahidi wa ICC!
 
Kinachosikitisha zaidi mamlaka yao ya uteuzi ipo kimya kabisa as if what is being done by them ni maelekezo kutoka kwayo..

Inasikitisha na kusononesha sana..

Wote uliowataja na hasa hawa ma rc watakuwa na mwisho mbaya sana.
 
Kinachosikitisha zaidi mamlaka yao ya uteuzi ipo kimya kabisa as if what is being done by them ni maelekezo kutoka kwayo..

Inasikitisha na kusononesha sana..

Wote uliowataja na hasa hawa ma rc watakuwa na mwisho mbaya sana.

Kwa bongo hakuna mwisho mbaya mtaishia kulalamika mutandaoni then mtasahau maana ninyi ni mang'ombe

Acha kulalamika do something
 
Wote uliowataja mimi nimekua surprised na Kamanda sirro anapelekeshwa na watoto, kina bashite, mwakyembe, PhD ya sheria haijamsaidia, ni msaka tonge kwa njia yoyote hadi anakana taaluma yake kama alivyokana kilichompa hiyo PhD kuhusu serikali mbili au tatu
 
Kinachosikitisha zaidi mamlaka yao ya uteuzi ipo kimya kabisa as if what is being done by them ni maelekezo kutoka kwayo..

Inasikitisha na kusononesha sana..

Wote uliowataja na hasa hawa ma rc watakuwa na mwisho mbaya sana.
Tujiulize yu wapi kijana machachali, mwenye mbwembwe na dharau... Magesa Mulongo
 
MKUU KAMA YANABARAKA TOKA KWA MAMLAKA HUSIKA.WATAFANYWA NINI ZAIDI YA KUPANDISHWA VYEO?
Kinachosikitisha zaidi mamlaka yao ya uteuzi ipo kimya kabisa as if what is being done by them ni maelekezo kutoka kwayo..

Inasikitisha na kusononesha sana..

Wote uliowataja na hasa hawa ma rc watakuwa na mwisho mbaya sana.
 
Back
Top Bottom