Paul Makonda, jembe liliosahaulika pamoja na kuinyoosha Dar. Lilimpigia chapuo Samia Suluhu kupata Umakamu wa Rais

Sisi nado tunaamini Cheo ni Hisani ya Mtawala na viongozi wapo wengi.

Wewe tuendelee kupiga jalamba tu hamna namna.

Nchi hii yetu sote kila mtu ana haki ya kuwa kiongozi ila hisani ya mtawala itamwangukia nani?

Hilo ndio zoezi
Facts
 
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.

Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.

Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Hana lolote huyo MWIZI MUUAJI kama MWENDAZAKE
JamiiForums1502826442.jpg
 
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.

Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.

Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.

Kuna jingine kisongo. Ni Jadi mteuliwa na mteuzi kuwa wamoja!
 
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.

Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.

Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Bashite siku zako zinahesabika, unatikiwa uwe Jela au unyongwe,
Kijipigia debe za teuzi kwa kua tu ”unamahusiano” na Samia haitakusaidia. Soma alama za nyakati Bashite.
 
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.

Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.

Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Clouds walimponza sabaya. Naona wewe unamsagia kunguni bashinenga
 
Heated honey can actually produce delirious effects in the body and can be fatal at the same time.

"Asali ikichemshwa yaweza kuwa nzuri mwilini na wakati huo huo kuwa sumu mwilini".

Huenda kweli alikuwa hivyo awali lakini baada ya kupata moto hafai tena, ameshakuwa sumu.
 
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.

Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.

Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Kumbuka jembe haliwezi kufanya kazi bila kuingizwa mpini
 
Kabla ajaondoka duniani ni lzm ataulipia uovu wake ni laws of nature, tawala uja tawala ubadilika.
Uliyemtenda leo kesho ndo boss wako.
 
Hivi kina Mo wanasubiri nini kulipiza hivi Hawaioni ile big booty
 
Unaongelea alomtaja tu, husisahau sisi tulolala makaburini kuakikisha anakuwa VP, wale walomfundisha shuleni etc tupo tu na njaa zetu tunasubiri.

Sasa nakushauri wewe na uyo koromije wako alokutuma mtulie tu
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.

Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.

Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
 
Kuna kila dalili kuwa Idugunde ni Makonda mwenyewe au mtu mwenye ukaribu sana na Makonda na Mwendazake.

Post nyingi sana anawatetea sana. Makonda hawezi kukwepa mkono wa sheria, labda afe mapema kama Mwendazake
Mkuu kabsaaa huyu Ni Bashite mwenyewe...huyu anatakiwa Lupango kujibu shutuma sio tuhuma. Huyu kwenye nchi zilizo na utawala bora alitakiwa kunyea kwenye debe mda huu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom