kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,593
- 6,626
Huyu bashite hana pakukimbilia anajua dhahiri ni swala la muda tu ataitwa kujibu tuhuma.Kuna kila dalili kuwa Idugunde ni Makonda mwenyewe au mtu mwenye ukaribu sana na Makonda na Mwendazake.
Post nyingi sana anawatetea sana. Makonda hawezi kukwepa mkono wa sheria, labda afe mapema kama Mwendazake