Leo hii ni habari ya maana sana.Sa hii nayo ni habari kweli?
Mkuu huu uzi wa kitambo ila kinachoendelea sasa kinazidi kuonyesha jamaa jinsi alivyoMkuu kwa wakati huo yalikuwa kama mambo ya "kitoto" sbb hatukujuwa kesho yetu.
Huu uzi ni wa 2011,hata bado Makonda hajamvuruga Jaji Warioba pale Ubungo Plaza.Kipindi hiki dogo alikuwa mtumwa wa Samwel Sitta.
Kumbe ni kweli dogo ali-disco mpaka chuo kikamchoka,hii ingeandikwa leo ingeonekana ni majungu.But this is 2011,Asante Sana Jamii Forum
wabongo kiboko naona mmeamua kuingia deep kama al qaedaBalaa hili jamani, kumbe makonda aliwahi kukataliwa na bunge la chuoni kwake, kufuatia uteuzi wake wa kuwa waziri mkuu wa chuo,kutokana na kutoeleweka kwake, kwamba alikuwa ni mtu asie maliza chuo kila siku yupo tuu.. Lol.. kama ni kweli basi hatari..
View attachment 475145