Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilidharauliwa....ila hii habari sasa ni dhahabu....it justify some news....Kada wa Chama cha Mapinduzi, ndugu Paul Makonda ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu katika Chuo cha Ushirika na Rais wa Chuo ndugu Godfrey Washoto lakini katika hali isiyojulikana Bunge limekataa kumuidhinisha kuwa Waziri Mkuu kutokana na kwamba ndugu Paul Makonda amekuwa haeleweki na wabunge hawana imani naye kutokana na kuhairisha miaka kila mara na miaka yote hamalizi chuo.
Bunge la chuo limehairishwa bila kupata muafaka
Kada wa Chama cha Mapinduzi, ndugu Paul Makonda ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu katika Chuo cha Ushirika na Rais wa Chuo ndugu Godfrey Washoto lakini katika hali isiyojulikana Bunge limekataa kumuidhinisha kuwa Waziri Mkuu kutokana na kwamba ndugu Paul Makonda amekuwa haeleweki na wabunge hawana imani naye kutokana na kuhairisha miaka kila mara na miaka yote hamalizi chuo.
Bunge la chuo limehairishwa bila kupata muafaka
Naam! Ukitaka kuruka ..................
Mwendelezo wa huu uzi bila shaka umeupata kutokana na kilichojiri wiki hizi mbilinaomba muendelezo wa hii thread jamani
Agana Na nyongaNaam! Ukitaka kuruka ..................
muendelezo ndo huu hapa from Paul to Daudinaomba muendelezo wa hii thread jamani
mwaka 2011 wakati unaandika hii comment yako hii haikuwa habari ila leo mwaka 2017 ni zaidi ya habariSa hii nayo ni habari kweli?